Yapo mazingira umkimchekea mjamzito tu basi tegemea kifo cha mama au mtoto,wakati mwingine wote huyo muuguzi kwa nini ampige yeye tu! Kati ya wote waliojifungua tafadhali umakini na ukomavu wa maamuzi unahitajika hawa wauguzi ni msaada mkubwa sana tuwahurumie sana.
Siku zote ndg yangu akili kubwa haitawaliwi na akili ndogo hata kwa mtutu haiwezekani,Zitto akili kubwa halafu anatambua uwezo alionao na anajua kuutumia.
Ukijitoa kuhudumia umma muhimu kujifunza tabia za umma,ni sawa na kufungua dirisha ukitaka kupata hewa,tegemea mbu,nzi na takataka nyingine,wakosoaji ni sehemu ya umma uliojitolea kuuhudumia ulitakiwa kujiandaa kukabiliana nao kwa hekima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.