Recent content by machacheeee

  1. M

    TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

    Tangulia kiongozi njia ya kila chenye pumzi hiyo.
  2. M

    Napata wapi mti kama huu jamani?

    Nauza miche yake,mmoja elfu tano tu,nipo kimbiji karibu na kiwanda cha saruji.
  3. M

    Pata viwanja, ramani za nyumba bure.

    Viwanja vimepimwa?vya ukubwa gani?viko wapi?
  4. M

    Ama Kweli Diamond ni "Mzungu"

    Kwenye njuluku hakuna vinyon go ni rahatupu mkuu
  5. M

    Muuguzi adaiwa kumpiga mgonjwa wakati akimuhudumia jijini Mbeya

    Yapo mazingira umkimchekea mjamzito tu basi tegemea kifo cha mama au mtoto,wakati mwingine wote huyo muuguzi kwa nini ampige yeye tu! Kati ya wote waliojifungua tafadhali umakini na ukomavu wa maamuzi unahitajika hawa wauguzi ni msaada mkubwa sana tuwahurumie sana.
  6. M

    Video: Mange Kimambi anasema uhuru wetu ni muhimu sana kuliko mabilioni anayookoa Magufuli

    Big up Mange!tunaokuelewa hatupati shida na wewe unachosema ni kweli isio na shaka,na matokeo yake bunge hilo liveeee.
  7. M

    Linganisha Zitto Kabwe na Wabunge wa CHADEMA

    Siku zote ndg yangu akili kubwa haitawaliwi na akili ndogo hata kwa mtutu haiwezekani,Zitto akili kubwa halafu anatambua uwezo alionao na anajua kuutumia.
  8. M

    Kwanini Rais na Serikali wanawahadaa wafanyakazi kuhusu punguzo la kodi?

    Mwenzenu najihisi mvurugiko wa ubongo tu,sielewi na sidhani kama nitaelewa hilo punguzo.
  9. M

    Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

    Ukijitoa kuhudumia umma muhimu kujifunza tabia za umma,ni sawa na kufungua dirisha ukitaka kupata hewa,tegemea mbu,nzi na takataka nyingine,wakosoaji ni sehemu ya umma uliojitolea kuuhudumia ulitakiwa kujiandaa kukabiliana nao kwa hekima.
  10. M

    Naibu Spika amuita Mbunge bwege Bungeni

    Huyo mzee wa achukucha......bwege.
  11. M

    Shikamoo mwanamke!!

    Heri yako wewe ulie tambua.
Back
Top Bottom