Tarime-Mura
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 252
- 104
ZZK anatetea maslahi ya nchi Na ndio maana Yuko tofauti Ni CHADEMA kwa kila kitu. CHADEMA Ni Chama kwanza Nchi baadaye. Ni makosa makubwa sana
Kwikwikwi chadema kwisha habari tunasubiri mazishi tu. R.I.P Chadema.
Mbunge (ACT) ktk Mkoa wa Kigoma Zito Kabwe alitoa mchango wake Bungeni, ambao hata Serikali yenyewe imeukubali na kusema kwamba itaufanyia kazi, Serikali imekubali mapendekezo ya Zito Kabwe ambapo ameongelea mambo muhimu sana kama vile kupambana na ufisadi na jinsi tunavyoibiwa sisi kama nchi na Makampuni ya nje na nini au kipi kifanyike ili kuweza kuokoa nchi yetu!
Sasa njoo kwa chadema chini ya KUB Mbowe ametumia muda wake wote kuitaka Serikali ionyeshe Bunge live kwenye TV kana kwamba hilo ndiyo tatizo kubwa linalotukabili WatanZania!
Sasa nimeelewa ni kwa nini Zito Kabwe alishindwa kufanya kazi na viongozi wa chadema, hivi Zito Kabwe angewezaje kukaa meza moja na mtu kama Msigwa au Mbilinyi (SUGU) na kujadili jambo na kufikia suluhisho??? Na sasa kwa kuharibu kabisa ndio wamemleta Lowasa yaani fisadi Lowasa ndiye msemaji au mtu mwenye maamuzi ya mwisho chadema, halafu bado wanategema kuongoza nchi hii, hapo mtasubiri sana!
Zito Kabwe Mbunge Kigoma ACT
Mwanadiplomasia wa chadema Mb.Msigwa (Iringa)!
vs
Mbunge (ACT) ktk Mkoa wa Kigoma Zito Kabwe alitoa mchango wake Bungeni, ambao hata Serikali yenyewe imeukubali na kusema kwamba itaufanyia kazi, Serikali imekubali mapendekezo ya Zito Kabwe ambapo ameongelea mambo muhimu sana kama vile kupambana na ufisadi na jinsi tunavyoibiwa sisi kama nchi na Makampuni ya nje na nini au kipi kifanyike ili kuweza kuokoa nchi yetu!
Sasa njoo kwa chadema chini ya KUB Mbowe ametumia muda wake wote kuitaka Serikali ionyeshe Bunge live kwenye TV kana kwamba hilo ndiyo tatizo kubwa linalotukabili WatanZania!
Sasa nimeelewa ni kwa nini Zito Kabwe alishindwa kufanya kazi na viongozi wa chadema, hivi Zito Kabwe angewezaje kukaa meza moja na mtu kama Msigwa au Mbilinyi (SUGU) na kujadili jambo na kufikia suluhisho??? Na sasa kwa kuharibu kabisa ndio wamemleta Lowasa yaani fisadi Lowasa ndiye msemaji au mtu mwenye maamuzi ya mwisho chadema, halafu bado wanategema kuongoza nchi hii, hapo mtasubiri sana!
Zito Kabwe Mbunge Kigoma ACT
Mwanadiplomasia wa chadema Mb.Msigwa (Iringa)!
vs
Mbunge (ACT) ktk Mkoa wa Kigoma Zito Kabwe alitoa mchango wake Bungeni, ambao hata Serikali yenyewe imeukubali na kusema kwamba itaufanyia kazi, Serikali imekubali mapendekezo ya Zito Kabwe ambapo ameongelea mambo muhimu sana kama vile kupambana na ufisadi na jinsi tunavyoibiwa sisi kama nchi na Makampuni ya nje na nini au kipi kifanyike ili kuweza kuokoa nchi yetu!
Sasa njoo kwa chadema chini ya KUB Mbowe ametumia muda wake wote kuitaka Serikali ionyeshe Bunge live kwenye TV kana kwamba hilo ndiyo tatizo kubwa linalotukabili WatanZania!
Sasa nimeelewa ni kwa nini Zito Kabwe alishindwa kufanya kazi na viongozi wa chadema, hivi Zito Kabwe angewezaje kukaa meza moja na mtu kama Msigwa au Mbilinyi (SUGU) na kujadili jambo na kufikia suluhisho??? halafu bado wanategema kuongoza nchi hii, hapo mtasubiri sana!
Zito Kabwe Mbunge Kigoma ACT
vs
Mwanadiplomasia wa chadema Mb.Msigwa (Iringa)!
Haiusiani njomba!Kumbuka! Sukari 3000 Kutoka 2000 na huu ni mwezi wa sita tu tangu tuishike ikulu.
Cc:MOTOCHINIUnalinganisha kamtu kamoja na taasisi yenye wabunge zaidi ya 40? Upumbavu wa kitanzania. Mapenzi binafsi kwa mtu mmoja
Rejea katiba yao, utajua kwanini wanalilia bunge live. Chama kwanza!Na hicho ndicho kinachonishangaza wakati mambo yanayotuhusu wananchi wa kawaida kama kupanda kwa bei ya sukari yakitusumbua Wabunge wa chadema chini ya KUB Mbowe badala ya kupambana na kuwalipigania wananchi kwenye hili wako busy kupigania Bunge kuonyeshwa kwenye TV wakati WatanZania walio na TV hata asilimia 15 ya wanachi wote hawafiki!
Profesa kotila?Zitto naye alitaka Lowasa aende ACT. Akiwamo profesa kotila. Cdm waliweza kumpata lowasa badala ya ACT.
Pili kwa CCM kukataa maoni ya CDm na kukubali ya Zitto. cCM sio kipimo ama benchmark ya ku-assess maoni ya mbowe na zitto mbele ya majaliwa.
Kosa la akina Sugu lema, mbowe, msigwa, silioni.. nadhan ni wabunge walioshinda kwa kishindo sana kwenye majimbo yao. Hii ina maana wanakubalika.
Mbilinyi kashinda jiji la Mbeya kwa kupitia upinzani.
Msigwa na mbowe. Kimsingi ushindi wao upo maeneo yenye wasomi wengi.
Zitto amehama lakini ni yeye tu kakubalika katika chama chake.
Hii inatosha kumwelezea zito ni mwanasiasa wa namna gani.
Na madai ya akina mbowe ni wewe sasa kujiongeza kama yana mantiki au hayana hata kama hayajakubaliwa na majaliwa.
Naff said.
Correction -> [emoji117] Profesa KitilaProfesa kotila?