Habarin wana jamvi. Niko na EFD Machine lakini kila nikiwasha inaprint Power Fault na haiendelei popote msaada kutatua tatizo hili.
Natangulza shukrani
Habarini wanajamvi, Ninaomba kufahamishwa mahali yalipo makao makuu ya NIDA kwani natakiwa kwenda kufuata barua ili itumike kama mbadala wa kitambulisho cha taifa wakati wa kuomba passport.
Natanguliza shukrani
Habari wanajamii, wakati nikiwa nafanya usajili hapa chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM) na nikiwa tayari nishachukua admission letter pamoja na kupata picha ya ID nikapotelewa na vyeti vyangu vyote kabla sijapeleka documents sehemu husika kukamilisha usajili.
Nafanyaje ili kukamilisha usajili...
Habari wanajamii, naomba kuelezwa ni wapi naeza tuma ems nje ya nchi na gharama yke.
nchi inapotoka: TANZANIA
nchi inapokwenda: SOUTH KOREA
pia makadilio ya muda mpka kufika huko.
Ahsanteni
Nakumbka ile tunafnya pre mock naingia ndan ya paper 1 naona chenga tu ila kwa baraka za mungu paper 2 ikavuja.
Kilichotokea hta shule haikuamin yan nikawa na 30 paper 1 af paper 2 nna 90 hpo ndip nkajua phys sio matak* kila mtu awe nayo.
Unaonekana ni jinsi gani ulivyo kilaza toka form 2 eti theory ya Newton hata hujui kutofautisha kati ya theory na law.Pole kwa hilo pia hujui kma kuna Theoretical and Practical Physics ukijua hvo vitu hautaandika huo upuuzi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alieweka uzi huu atakua ni mwandishi wa gazeti la Ijumaa au Sani.Maana siamini kma mwanaume anaeza andka uzi kma huu.
Kweli tanzania ya viwanda haiwezekani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.