MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,200
USICHANGANYE NIDA NA RITA, LILE JENGO MKABALA NA KULIPOKUWA BILLICANA CLUB NI RITA HQJirani na breakpoint au Benjamin mkapa tower posta
Sent using Jamii Forums mobile app
USICHANGANYE NIDA NA RITA, LILE JENGO MKABALA NA KULIPOKUWA BILLICANA CLUB NI RITA HQJirani na breakpoint au Benjamin mkapa tower posta
Umekuwa wa kwanza na ukatoa fyongo!Jirani na breakpoint au Benjamin mkapa tower posta
Panda basi hadi Makumbusho,kutoka Makumbusho panda basi jingine linaloenda Posta kupitia Ali Hassan mwinyi, shuka kituo kinaitwa DSTV(kontena). Ukishuka tembea uelekeo ule ule wa basi uliloshuka kwa mita kama 200 utaona barabarra inaingia kulia inaitwa KILIMANI. Utaona ofisi za Nida kushoto kwa hio barabara.Niko university of Dar es salaam nipe muelekeo mpka kufika hapo
Habarini wanajamvi, Ninaomba kufahamishwa mahali yalipo makao makuu ya NIDA kwani natakiwa kwenda kufuata barua ili itumike kama mbadala wa kitambulisho cha taifa wakati wa kuomba passport.
Natanguliza shukrani
Bado hawajahamia.Ya
Yapo Kibaha karibu na stand mpya
HQ ya NIDA nasikia iko kibaha kwa sasa
Bado hawajahamia.
naona umeuliza swaliIpo Kibaha, panda gari iendayo Mbezi halafu chukua gari za Kongowe/Mlandizi na utakapofika Mailimoja gari itaingia stend ya Loliondo, ukitoka hapo stend inayofuata ni kona ya hapo makao makuu ya NIDA, Kama una gari binafsi nenda mpaka TAMCO na mbele yake kidogo utakuta barabara inayoingia mkono wa kulia fuata hiyo mpaka utakapoona jengo la ghorofa mkono wa kushoto basi utakuwa umefika...kumbuka hapa kuna wakati Rais alidai kuwa jengo hilo limejengwaa kwenye mkondo wa maji?
Nenda Hadi Makumbusho Halafu Panda Gari Za Kwenda Postal Via Ally Hassan Mwinyi Road Telemka Kituo (Msaada)Escape One Jina Nimelisahau Halafu Utatembea Kwa Miguu Ulipo Ubalozi Wa UfaransaNiko university of Dar es salaam nipe muelekeo mpka kufika hapo
naona umeuliza swali
Shukrani kaka ngoja nifanye hvoPanda basi hadi Makumbusho,kutoka Makumbusho panda basi jingine linaloenda Posta kupitia Ali Hassan mwinyi, shuka kituo kinaitwa DSTV(kontena). Ukishuka tembea uelekeo ule ule wa basi uliloshuka kwa mita kama 200 utaona barabarra inaingia kulia inaitwa KILIMANI. Utaona ofisi za Nida kushoto kwa hio barabara.
Wale wa kibaha hawadili na kesi ya mmoja mmoja pale ndipo vinafyatuliwa vingi kwa nchi nzima ndio wanafuata pale hizi nida za mikoani na wilayani so asiende kuleMakao Makuu ya NIDA yapo KIBAHA, Mkoa wa Pwani.
ulifanikiwa kupata barua hio???Habarini wanajamvi, Ninaomba kufahamishwa mahali yalipo makao makuu ya NIDA kwani natakiwa kwenda kufuata barua ili itumike kama mbadala wa kitambulisho cha taifa wakati wa kuomba passport.
Natanguliza shukrani