Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Physics advance nilifanikiwa kuikimbia,lakini Chuo nilikuja kukutana na Engeeneering Mechanics,hapo ndipo nilipojuta.
 
Tatizo madogo wanapenda wakina mgote na moudy badala ya kuja kusoma shule wanashinda mchikochini tu wanakatishwa tamaa tu unakuta pam lona maswali 450 halaf mengi ni opp.mbona adv phy ukisoma kwa malengo inaenda vzuri
 
Picha linaanza nipo form five pale mtwara tech. Naingia school siku ya kwanza njemba naingia class nakuta makamanda wamehamishia trunkers darasani wanapiga misuli mirefu balaa..! Mtu anasoma masaa 18 kwa siku..! Wakati mie nusu saa tu nmeshaanza kusinzia..! Nikaona isiwe tabu, nikakubaliana na wenzangu wanne kuwa siye tutakuwa msuli bwenini maana mashindano yale hatutayaweza kabisaa..! Mpaka namaliza form six nimewahi kuingia darasani haizidi week tatu..!

Back to the topic. Physics mie niliielewa toka nipo form five kuwa sina akili za kusolve hayo madude and so nikafanya research ndogo nikafahamu kuwa nahitaji principle mbili pekee ili niingie chuo. Basi nikakaza kwenye Bios and Chem nikatoka na Double D na S ya physics huyooo chuo na wanyama waliopiga A ya physics.
Ile siku tunafanya pepa la physics la necta wala sikuelewa ugumu wa ile pepa maana hata nikisoma swali nilikuwa sijui linataka nini..! Naona watu wanasikitika tu wakati mie nimeshafanya maswali yangu yakunitoa kwenye mswaki nikawa nawachola tu..
 
Nakumbka ile tunafnya pre mock naingia ndan ya paper 1 naona chenga tu ila kwa baraka za mungu paper 2 ikavuja.
Kilichotokea hta shule haikuamin yan nikawa na 30 paper 1 af paper 2 nna 90 hpo ndip nkajua phys sio matak* kila mtu awe nayo.
 
Picha linaanza nipo form five pale mtwara tech. Naingia school siku ya kwanza njemba naingia class nakuta makamanda wamehamishia trunkers darasani wanapiga misuli mirefu balaa..! Mtu anasoma masaa 18 kwa siku..! Wakati mie nusu saa tu nmeshaanza kusinzia..! Nikaona isiwe tabu, nikakubaliana na wenzangu wanne kuwa siye tutakuwa msuli bwenini maana mashindano yale hatutayaweza kabisaa..! Mpaka namaliza form six nimewahi kuingia darasani haizidi week tatu..!

Back to the topic. Physics mie niliielewa toka nipo form five kuwa sina akili za kusolve hayo madude and so nikafanya research ndogo nikafahamu kuwa nahitaji principle mbili pekee ili niingie chuo. Basi nikakaza kwenye Bios and Chem nikatoka na Double D na S ya physics huyooo chuo na wanyama waliopiga A ya physics.
Ile siku tunafanya pepa la physics la necta wala sikuelewa ugumu wa ile pepa maana hata nikisoma swali nilikuwa sijui linataka nini..! Naona watu wanasikitika tu wakati mie nimeshafanya maswali yangu yakunitoa kwenye mswaki nikawa nawachola tu..
Ulicheza kama messi mkuu
 
Nakumbka ile tunafnya pre mock naingia ndan ya paper 1 naona chenga tu ila kwa baraka za mungu paper 2 ikavuja.
Kilichotokea hta shule haikuamin yan nikawa na 30 paper 1 af paper 2 nna 90 hpo ndip nkajua phys sio matak* kila mtu awe nayo.
 
Picha linaanza nipo form five pale mtwara tech. Naingia school siku ya kwanza njemba naingia class nakuta makamanda wamehamishia trunkers darasani wanapiga misuli mirefu balaa..! Mtu anasoma masaa 18 kwa siku..! Wakati mie nusu saa tu nmeshaanza kusinzia..! Nikaona isiwe tabu, nikakubaliana na wenzangu wanne kuwa siye tutakuwa msuli bwenini maana mashindano yale hatutayaweza kabisaa..! Mpaka namaliza form six nimewahi kuingia darasani haizidi week tatu..!

Back to the topic. Physics mie niliielewa toka nipo form five kuwa sina akili za kusolve hayo madude and so nikafanya research ndogo nikafahamu kuwa nahitaji principle mbili pekee ili niingie chuo. Basi nikakaza kwenye Bios and Chem nikatoka na Double D na S ya physics huyooo chuo na wanyama waliopiga A ya physics.
Ile siku tunafanya pepa la physics la necta wala sikuelewa ugumu wa ile pepa maana hata nikisoma swali nilikuwa sijui linataka nini..! Naona watu wanasikitika tu wakati mie nimeshafanya maswali yangu yakunitoa kwenye mswaki nikawa nawachola tu..
Maisha ni kuchagua..umetisha university ulienda kusoma nini??
 
Back
Top Bottom