Recent content by mabutu1835

  1. mabutu1835

    Jinsi ya Kuuza Followers na Kutengeneza TZS 2,000,000+ Kwa Mwezi Kwa Kutumia Simu Yako Tu

    Katengeneze hiyo hela wewe na usidai malipo ya mafunzo
  2. mabutu1835

    Naondoka Bungeni bila Mume wangu, Naondoka na Aibu na Mikopo ya kutisha

    Ukikutana na mwanamke anayependa siasa kwa nafasi yoyote usimvulie ingia mitini fasta
  3. mabutu1835

    Kusema Ukweli Tendo la kutoa haja kubwa ni la aibu sana; ila ni kwa vile tu linafanywa na wote basi tunajifarijimo!!!

    Kwanini kuna watu ukiingia choo cha pili ghafla yeye anaahirisha kukata gogo? Wanaogopa nini?
  4. mabutu1835

    Kusema Ukweli Tendo la kutoa haja kubwa ni la aibu sana; ila ni kwa vile tu linafanywa na wote basi tunajifarijimo!!!

    Nikiwa mdogo niliamini wanawake mavi yao hayanuki na yana sura nzuri. Ila nilichokiona siku moja Imani hiyo ilibadilika.Watu wote wakiwa wanajisaidia hubadilika sura na kuwa mbaya kama huamini jaribu kuingia na kioo ujiangalie
  5. mabutu1835

    K Basil sasa ni askofu chini ya kanisa la Gwajima

    Degree zinasaidia nini katika masuala ya kiimani.Ndio maana sasa hivi matapeli ni wengi kwenye nyumba za ibada sababu wasomi wengi ni wezi
  6. mabutu1835

    Kanisa Katoliki limepiga Marufuku Viongozi wa Serikali/Wanasiasa kuhutubia/kusimama mbele ya madhabahu na kutoa neno

    Muda wa kampeni huu wameshtukia kutumika majukwaa ya ibada kama sehemu za kampeni
  7. mabutu1835

    Mwanamke ajiua na wanawe (4) kwa sumu kisa mke mwenza kajengewa nyumba

    Amekosa uvumilivu Inaonyesha alikuwa ni mwanamke mtata sana jamaa sasa hivi atafurahia ndoa
  8. mabutu1835

    Mapenzi yanavyonifanya nijihisi nakosea kila ninachokifanya

    Ukimkojolea demu usipoteze muda wewe kujoa tu na usepe
Back
Top Bottom