Nondo za Nondo dhidi ya mtu anayetaka kuiangusha ACT Wazalendo. Yawezekana siku akisikia Msajili wa Vyama ameifuta rasmi ACT Wazalendo ataandamana kuunga mkono kutoka Kigamboni mpaka Ofisi za Msajili wa Vyama
Nawashauri waendelee na wasikate tamaa waende kwenye mahakama zenye uwezo wa kuvifuta hivi vifungu:
14. Appointment and Qualification of Director General
18. Accreditation of Journalists
Tumeshaona jinsi posti zetu zinavyoyumbishwa na hamahama ya wanasiasa hilo laweza kukutokea. Lakini pia kwa muungwana, kila unapomnyooshea mwenzako kidole ukumbeke vidole vinne vinakuelekea wewe. Kama iwapo inathibitika aidha humu jukwaani au penginepo ulifanya hivyo ni vema ukamuomba radhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.