Recent content by Mabobish

  1. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji

    Kwa kweli mke wake ndo kamletea jamaa shida yote hiyo
  2. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mkojo kutoa harufu kali

    Ahsante kwa ushauri Kiongozi
  3. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo na athari ya mkojo kutoa harufu mbaya unapokuwa unajisaidia?

    Wadau naomba kujuzwa juu ya chanzo cha mkojo kutoa harufu kali sana aka kunuka wa wakati wa tendo la kukokoa? Aidha naomba kufahamishwa endapo kuna athari zozote kiafya kutokana na hali hiyo yaani kukojoa mkojo unaonuka sana. Nawaslisha kwa ajili ya kipatiwa majibu na ushauri kuhusiana hoja...
  4. Mabobish

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

    Rest in peace da Mwele, kifo ni fumbo kubwa sana kwa Mwanadamu,poleni sana familia ya Mzee Malecela
  5. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mkojo kutoa harufu kali

    Members wenzangu wa Jf naomba kujuzwa juu ya tatizo la mkojo kutoa harufu kali ( FOUL SMELL) wakati wa tendo la kukojoa. Na je athari yake nini kiafya na kufahamishwa juu ya hoja niliyoitaja hapo juu kwa . Naomba kuwasilisha kwa udadavuzi
  6. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Cheo cha Balozi kama alichopewa Bashiru maana yake nini?

    Sijapata kukiona
  7. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Cheo cha Balozi kama alichopewa Bashiru maana yake nini?

    Wadau naombeni mwenye kufahamu ufafanuzi juu ya cheo alichotunukiwa Dr.Bashiru Ally sambamba na uteuzi wa Katibu Mkuu Kiongozi. Binafsi sijaelewa kwamba huenda ni sharti ili uwe Katibu mkuu Kiongozi ni lazima uwe Balozi?? Nawasilisha kwa hoja si mapovu
  8. Mabobish

    JamiiForums Tanzania TANZIA Prof. Cosmas Mligo wa UDSM afariki dunia

    R.I.P Prof. Nilimfahamu toka 2006 nilipoingia UDSM mwaka wa kwanza alikuwa Mwalimu mzuri sana wa Botany
  9. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Maajabu 20 ya tunda la stafeli katika tiba

    Habari za muda wadau,naomba mwenye ufahamu wa matumizi na maadalizi ya majani ya Mstafeli kwa ajili ya tiba na kinga dhidi ya maradhi mbalimbali ya binadamu. Nimesikia juu juu kuhusu tiba hii, na kwamba majani haya yana faida nyingi kwa matumizi ya binadamu KIAFYA. Kwa kuwa JF ni kisiwa cha...
  10. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya kuweka "handle" kwenye Twitter?

    Ahsante Chief
  11. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya kuweka "handle" kwenye Twitter?

    Habari za jioni, Wadau naomba kueleweshwa maana ya " kuweka handle" kwenye Twitter. Neno nimelikuta mara nyingi kwenye tweeter , utasikia jamaa anahamasisha kwa kusema " weka handle nikufollow. Binafsi kidogo msamiati huu siulewewi na napenda kufanya hichokinachokuwa kinahamasishwa yaani...
  12. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Kuwashwa sana kwenye nyayo za miguu au viganja vya mikono husababishwa na nini?

    Angalau wewe umeweza kunipatia ushauri wa kujengana kuliko wengine hawako serious wanashauri famba tu
  13. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Kuwashwa sana kwenye nyayo za miguu au viganja vya mikono husababishwa na nini?

    Mwenzenu kwa muda mrefu sasa nimekuwa na tatizo la kuwashwa sana kwenye unyayo wa miguu tena kwa kubadilika badilika miguu. Aidha wakati mwingine nimekuwa na tatizo la kuwashwa sana kwenye kiganja cha mkononi hususani kwenye dole gumba au vidole vingine kimojawapo. Tendo hili limekuwa...
  14. Mabobish

    JamiiForums Tanzania Natumia mpaka vumbi la kongo lakini tatizo langu liko palipale, mke hafiki kileleni

    Naomba tuwasiliane PM /DM Kiongozi nina haja sana na hiyo dawa please
Back
Top Bottom