Mabobish
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 366
- 280
Habari za jioni, Wadau naomba kueleweshwa maana ya " kuweka handle" kwenye Twitter. Neno nimelikuta mara nyingi kwenye tweeter , utasikia jamaa anahamasisha kwa kusema " weka handle nikufollow.
Binafsi kidogo msamiati huu siulewewi na napenda kufanya hichokinachokuwa kinahamasishwa yaani kuweka handle. Naomba mwenye kuelewa juu ya mada tajwa hapo juu anisaidie nipate uelewa wa jambo hili, "Aulizae ataka kujua" msiporomoshe mitusi na kejeli
Binafsi kidogo msamiati huu siulewewi na napenda kufanya hichokinachokuwa kinahamasishwa yaani kuweka handle. Naomba mwenye kuelewa juu ya mada tajwa hapo juu anisaidie nipate uelewa wa jambo hili, "Aulizae ataka kujua" msiporomoshe mitusi na kejeli