Kapime ndugu ukute vibakteria vya kwenye kibofu vimefanya magendo au Kuna nyaya za hasi ulikanyaga ama ni ujumbe kutoka kwenye figo zako!.Members wenzangu wa Jf naomba kujuzwa juu ya tatizo la mkojo kutoa harufu kali ( FOUL SMELL) wakati wa tendo la kukojoa. Na je athari yake nini kiafya na kufahamishwa juu ya hoja niliyoitaja hapo juu kwa . Naomba kuwasilisha kwa udadavuzi
Sasa huo ni mkojo au bao?! Maana pia hata mkojo wa kawaida huwa kuna hali hutokea unakuwa wanjano sana na unatoa harufu kali sana usipo mwaga maji chooni au ukokojoa pembeni ya sinki.Members wenzangu wa Jf naomba kujuzwa juu ya tatizo la mkojo kutoa harufu kali ( FOUL SMELL) wakati wa tendo la kukojoa. Na je athari yake nini kiafya na kufahamishwa juu ya hoja niliyoitaja hapo juu kwa . Naomba kuwasilisha kwa udadavuzi
Maji na matunda kwa wingi tatizo litaishaMembers wenzangu wa Jf naomba kujuzwa juu ya tatizo la mkojo kutoa harufu kali ( FOUL SMELL) wakati wa tendo la kukojoa. Na je athari yake nini kiafya na kufahamishwa juu ya hoja niliyoitaja hapo juu kwa . Naomba kuwasilisha kwa udadavuzi
GombeyehealthcareMembers wenzangu wa Jf naomba kujuzwa juu ya tatizo la mkojo kutoa harufu kali ( FOUL SMELL) wakati wa tendo la kukojoa. Na je athari yake nini kiafya na kufahamishwa juu ya hoja niliyoitaja hapo juu kwa . Naomba kuwasilisha kwa udadavuzi