Recent content by Mabilika

  1. M

    Uchambuzi wa Kiintelijensia kuhusu Mauaji Kibiti, Mkuranga, Rufiji (MKIRU)

    Uchambuzi murua kabisa, hii huwa naona kwenye movies tu,daah!
  2. M

    Mc Pilipili utanisamehee kwa ukweli huu "huna kipaji cha kuchekesha"

    Nami nakuunga mkono!binafsi sichekeshwi na comedy anayofanya kaka Mc pilipili.
  3. M

    Tembo wanne watinga Chuo Kikuu Dodoma

    Nimeattach picha zilizopigwa eneo la tukio!!
  4. M

    Komandoo ni Cheo au ni mtu wa namna gani?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  5. M

    Mwakyembe kusema kwamba Mhe.Nassari aliingia na chupa ya konyagi bungeni akazuiwa mlangoni sidhani

    Hii haipo mkuu,hawawezi kuwa operational priests hao.A catholic priest is in all means supposed to be celibate.
  6. M

    Mauaji ya Polisi: Mwigulu azungumzia vilivyohisiwa visababishi vya sintofahamu hiyo

    Mkuu Makusidically,suala la mauaji ya police wanane ni suala hatari na la kuogofya. Ni suala ambalo kila mtanzania mzalendo anapaswa kulilaani kwa nguvu zote. However, hawa wanaoitwa majambazi hasa katika maeneo haya ya pwani (kibiti,mkuranga et al) hawakidhi vigezo vya kuitwa hivyo. Kwa...
  7. M

    Mauaji ya Polisi: Mwigulu azungumzia vilivyohisiwa visababishi vya sintofahamu hiyo

    Ustadhijuma amejaribu objectively kuutenganisha uislam na matendo maovu ya watu wachache wanaojinasibu kufanya jihad kwa kuua watu wasio na hatia. Kwa nilivyo kusoma hapa,wewe unaonekana kutokubaliana nae; kwako wewe mauji ya watu wasio na hatia hayapaswi kukemewa (kama alivyofanya...
  8. M

    Mombasa City Gallery

    Lugha zakuja na meli hizi ni utata!
  9. M

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Binafsi huwa navutiwa sana na aina ya uandishi wako Mkuu Paskali; inapaswa kusoma between lines to comprehend the intended message.
  10. M

    Kama kweli kuna majini mahaba basi hili langu ni kiboko

    [emoji23][emoji23],hatari sana Mkuu!
  11. M

    Askari wa Usalama Barabarani Dodoma mnaonea madereva

    Mkuu Mwamakula, mimi nilifika Central traffic police offices Dodoma juzi kutafuta hizo sticker; askari aliyekuwepo counter alisema mambo matatu 1.stickers kwa mkoa wa Dodoma zimekwisha na mtu hapaswi kukamatwa coz sticker zenyewe hazipo 2. Zoezi la kukamata wasiokuwa na sticker hizo hufanyika...
  12. M

    Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

    Mkuu tuliza munkari, soma uzi kwa umakini ndio uchangie!kuna kitu hujaelewa.
  13. M

    Malawi yahisi kupelelezwa na Tanzania kama inatengeneza silaha za nyuklia, yakamata ma-spy

    Mkuu Ngapulila,ukweli ni upi hapa?maana unaonekana kufaham ukweli!
Back
Top Bottom