Recent content by Mabenga

  1. M

    Suzuki Carry inauzwa

    Muda mrefu ni dak ngapi ,saa ngapi,siku ngapi?,mwiki,miezi,miaka mingapi?tueleza tujue siyo maneno maneno tu.
  2. M

    Wizara ya Uhamiaji na watu wa idara ya kazi njooni Kibaha

    Ukipenda kuomba masharti lazima yazingatiwe , hiyo ni sehemu ya package ya msaada,hiyo ni kawaida kwa nchi masikini kupewa masharti.
  3. M

    Kuna aliyeitwa kazini SUMATRA?

    Sumatra hawana ubabaishaji,ukipata una deserve.
  4. M

    Ukiona wamarekani wanakuchukia ujue uko sahihi

    Never on earth marekani hawezi kuwa rafiki mwema kwetu na hajawahi . Eeeh baba Mungu umjarie kipenzi rais wetu Magufuli afya njema ,aivushe Tanzania kwenda kwenye uchimi wa kati. Muuongoze aiongoze nchi yetu na Africa pia.
  5. M

    Tanzia: Rais mstaafu Kikwete afiwa na dada yake

    Pole mh rais wetu mstaafu,nawaombea faraja iliyokuu itokayo kwa Mungu baba igusee vilindi vya mioyo yenu wafiwa wote katika wakati huu wa majonzi.
  6. M

    Msaada lodge/gesti nzuri Tanga Mjini

    Hotel chumba 30,000/=safi ,parking ,self na mengine Tanga eekend hii lazima aende magaoni,kange,na mabondeni huko
  7. M

    Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

    Kwanza kapime hospitalini ili ujue unaumwa nini kwanza ,pili ukikuta ni kikohozi tu nenda kwa sharif hapo ilala bungoni ununue dawa inamaliza everything
  8. M

    Msaada lodge/gesti nzuri Tanga Mjini

    Nyinda kwa minchi is preferable
  9. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Bona unaleta vitu vya kujadili,good .
  10. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kuwa mkweli,SUMATRA wanafanyakazi nzuri anzia nsuli za train,bus na meli. Mfano daladala toka simu 2000 hadi mbezi shs 400,hapa kuna km 8.usilaumu tuu toa mifano na ushahidi ueleweke
  11. M

    Nauza simu zangu 2

    Mi nikajua una kitu cha Panasonic
  12. M

    Naanza kuiona haja ya "semina elekezi"

    Darasa ni muhimu,nimeshuhudia waziri mmoja ktk taarifa Itv,akicheza no kama nne,miundombinu,tamisemi,mazingira na kazi. Division of labour and specialization ni muhimu.
  13. M

    CV ya Dr. Hoseah

    Mtamtupia lawama nyingi Dr Hosea,ila amefanya reforms nyingi na kuifanya PCCB sasa kuwa taasisi ya mfano. Kwangu mimi recognition nampa.
Back
Top Bottom