Never on earth marekani hawezi kuwa rafiki mwema kwetu na hajawahi .
Eeeh baba Mungu umjarie kipenzi rais wetu Magufuli afya njema ,aivushe Tanzania kwenda kwenye uchimi wa kati.
Muuongoze aiongoze nchi yetu na Africa pia.
Kwanza kapime hospitalini ili ujue unaumwa nini kwanza ,pili ukikuta ni kikohozi tu nenda kwa sharif hapo ilala bungoni ununue dawa inamaliza everything
Kuwa mkweli,SUMATRA wanafanyakazi nzuri anzia nsuli za train,bus na meli.
Mfano daladala toka simu 2000 hadi mbezi shs 400,hapa kuna km 8.usilaumu tuu toa mifano na ushahidi ueleweke
Darasa ni muhimu,nimeshuhudia waziri mmoja ktk taarifa Itv,akicheza no kama nne,miundombinu,tamisemi,mazingira na kazi.
Division of labour and specialization ni muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.