Roma haikujengwa siku moja
Watu wetu wengi hawaoni umuhimu kwa sababu ya elimu tu
Habari njema ni kwamba ccm bado hawajaamka pia
Tanzania ya mkapa siyo ya leo kwa upande wa wananchi
Alivyofariki Magufuli walijaribu kuirudisha Tanzania ya Kikwete lakini walishindwa watanzania walishakuwa...
Nilivyomuelewa alikuwa na kesi ya kujipatia hela kwa njia ya udanganyifu
Wakili wake akamshauri atafute milioni tatu alipe
Hiyo ikasababisha kesi ibadilike na kuwa ya madai
Baba levo anashinda
Unajua umuhimu wa Diamondi kwa ccm
Baba levo kwanza anajiweza kwa uchawa alafu ni mtu wa Diamondi ambaye anategemewa kwenye kampeni na ccm
Hiyo nywele ni mitaji ya wauza sox watatu
Nikiwa kkoo siku moja manzi kanunua losheni vichupa kama vitano hivi 270 kalipa
Sasa muuza sox ukimpewa huyo tayari ni stress kumuhudumia
Lakini Mungu ni Mwamba hata wauza sox wanao kama hao sema tofauti yao ni matunzo tu
Nimesema kuna vyanzo vingi vya taarifa mtandaoni mtu aingie kujiridhisha
Kuwa daktari tu haitoshi
Mpaka sasa hujaleta fact yoyote
Wataalam kwa kujua faida za mafuta ya salmon fish kiafya na kwamba hawa samaki hawapatikani kila mahali wametengeneza vidonge vya haya mafuta na mengine yanauzwa...
Sijui kama unauelewa nazo
Unaposema siyo nzuri tupe na madhara yake tukuelewe
Salmon ni samaki na kama unaweza kuwapata ukawa unawatumia kama supu basi wana matokeo sawa na hichi tunachozungumzia hapa
Dawa kuiangalia ni mafuta halisi ya samaki na shombo ya kabisa
Na faida zake siyo tu hamu...
Hivi ni vidonge vya mafuta ya samaki lakini mbali na vidonge pia kuna mafuta ya samaki ambapo yanauzwa kwenye maduka ya dawa yana matokeo kwa asilimia mia
Vidonge vinarange kuanzia 120-160 gharama
Lakini mwanangu mimi nilimnunulia mafuta kwa elfu32
Utaulizia mafuta ya omega3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.