kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,185
- 24,573
Wakuu nina mtoto wangu wa kiume ana miaka 9 lakini anasumbua kula sana.
Tunajitahidi kumpa kila anachotakiwa kula lakini wapi, ujanja wote wa kumbadilishia chakula umegonga mwamba!!
Nilidhani labda kwakua anasoma shule basi atachangamkia kula lakini hamna kitu.
Yupo darasa la 3 na shule anafanya vizuri tu changamoto ya kula ndo shida chakula kama ni ugali atakula matonge machache tu
Yaani anashindwa hata na mwingine mdogo wa miaka 4!
Mimi na wife tumepambana lakini wapi.
Naombeni mnishauri nifanyeje maana hata lishe tumenunua lakini hatujaona matokeo na huko shuleni kwao wanapikiwa lakini bado shuleni huwa anaskip muda wa kula.
Mpaka kuna mda natamani hata labda ningemuhamishia shule za serikali labda ingesaidia...Wenye watoto kama huyu wangu mmetumia mbinu gani?
Tunajitahidi kumpa kila anachotakiwa kula lakini wapi, ujanja wote wa kumbadilishia chakula umegonga mwamba!!
Nilidhani labda kwakua anasoma shule basi atachangamkia kula lakini hamna kitu.
Yupo darasa la 3 na shule anafanya vizuri tu changamoto ya kula ndo shida chakula kama ni ugali atakula matonge machache tu
Yaani anashindwa hata na mwingine mdogo wa miaka 4!
Mimi na wife tumepambana lakini wapi.
Naombeni mnishauri nifanyeje maana hata lishe tumenunua lakini hatujaona matokeo na huko shuleni kwao wanapikiwa lakini bado shuleni huwa anaskip muda wa kula.
Mpaka kuna mda natamani hata labda ningemuhamishia shule za serikali labda ingesaidia...Wenye watoto kama huyu wangu mmetumia mbinu gani?