hamna chumvi wala sukari,wewe kama unataka kufurahisha jamii poa ,but am doing b'ness hapa,zilikuwa 10 heka ,zimeuzwa 6 ,mbili kuna mtu alitaka zisiuzwe atakuja ,muda umepita zimerudishwa ktk soko ,sasa ni 4 heka zipo ,siasa hipo wapi.?wewe ni senoir member kweli...