Recent content by Mabagala

  1. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Mume wangu nimemchoka mpaka akinisogelea nasikia harufu ya chatu

    Harufu ya chatu ndo gani?
  2. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

    Ifikapo 31.12.2018 nitakuwa namaliza mwaka bila kula nyama
  3. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za kuoa Kibosho

    Nimetoka kutoa mahari huko huko kwa kibosho kwa kina Mushi. Kawaida tu peleka mshenga aje akupe maelekezo
  4. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Nakubaliana nawe, ila subiri uchangie kwangu kwanza
  5. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Hivi nani aliweza kuacha pombe kabisa?

    Ngoja niijaribu hii weekend ya leo
  6. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Hivi nani aliweza kuacha pombe kabisa?

    Teh teh! Wewe kiboko, ila kama uliweza miaka miwili ilipaswa uache kabisa dakika hii. Naona umeingia na nguvu mpya
  7. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Gari aina Honda Stream mpya kwa 9M

    Niko na hili gari tangu mwaka 2014, ni hatari kwa afya yako. Gearbox imebidi mjapan mwenyewe ailete. Karibu sana kwenye stream
  8. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Hivi nani aliweza kuacha pombe kabisa?

    Nimeacha mwaka huu ulipoanza, ila juzi nimeshtua
  9. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Wanamuziki wa Congo(DRC) na vituko na mikasa yao. Akina Defao, Madilu,Franco Luambo

    Unapenda ya kishirikina au mziki wa kongo?
  10. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Mwalimu Abundant
  11. Mabagala

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Diwani wa CHADEMA Kata ya Namwawala mkoani Morogoro auawa kwa kukatwakatwa mapanga

    Huyu itakuwa aligoma kuunga mkono
  12. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Christian Bwaya atiwa mbaroni kwa kuweka picha ya wanafunzi waliokaa chini wakifanya mtihani wilayani Iramba

    Nami nina ziara ya kwenda kwetu ukerewe naona picha hazitaniacha salama
  13. Mabagala

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

    Muyobhyo ni mboga chungu sana
Back
Top Bottom