Mambo ni ngum huku mtaani..hali imekua shida kila uchao,sio kwa wafnya biashara na hata kwa watumishi.ila ndio funzo kwa wale wasio faham wakat uliopo na kujua chanzo ni nini.
ina Maana kua hao ni Wabunge wa kuteuliwa..tofauti na wale wakuchaguliwa Maamuz huwa hayatoki ktk chama husika bali na wananchi wanahusika kutengua ubunge wao tofauti na chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.