Mkuu nakushauri umpuuze huyo kijana . Uwezo wake katika kujenga hoja upo chini aidha kwasababu hajui vyema anachokijengea hoja au Hana utulivu anapowasilisha hoja zake hali inayopelekea kuruka ruka Kama tumbili .
Lakini pia katika historia ni mtupu
Hiki unachowasifia hujui tu nikwanamna gani kinawagharimu.Hii hatua furahi kuiona kwa wenzio hivyo hivyo lakini sio hatua ya kutamani uwe sehemu ya jamii inayoishi katika mazingira hayo.
Ukiondoa hizo takataka za kimagharibi kichwani mwako unaweza walau kufikiri sawasawa maana kinachokusumbua Ni...
Mkuu sio kila kitu tunapaswa kukopi . Huo Ni utamaduni wao tukubali na kuheshimu utamaduni wao lakini pia tujivunie utamaduni wetu. Ukiendelea na fikra za namna hiyo ipo siku utanunua vipodozi ubadilishe ngozi yako ili ufanane na hao ambao unahusudu utamaduni wao..
Waafrica wengi bado tunautumwa...
Ungeandika tangu ulipoanza kwamba utahitaji mchango wa MBs tujue sio unakuja kutafuta huruma kwa wadau kila wakati .
Alafu utakuwa unashida kwenye uelewa wako yaani Bado huwezi kutofautisha kuambiwa Ukweli na kutukanwa ?
Utakuwa unashida kwenye uelewa wako yaani huwezo kutofautisha kati ya Ukweli na chuki !!
Ulianza mwenyewe kuweka story , ukataka kujua muitikio wa watu juu ya kile unaandika , ukajibiwa kuwa Ni mzuri , ukaona hiyo Ni fursa kuomba hela kwa kisingizio Cha MBs. Sasa kila baada ya post 2 au 3...
Mkuu Kama umeamua kuweka story weka usifanye kuwa mradi.
Kumbuka hatukukuomba uanzishe story. Hii Ni dalili ya utapeli na ujanja ujanja kila baada ya vipande viwili unataka hela, kaa nayo Basi ili ije kugeuka kuwa bank upate hizo hela.
Mkuu Mimi sipingi kabisa utaratibu wa kutoa sadaka maana najua Ni mfumo ambao umebeba lugha ambayo Mungu pekee anaweza kuielewa lakini kile tunachohubiriwa kwamba tutoe ili tubarikiwe huwa naona si Sahihi baraka za Mungu kwetu hazitokani na sadaka tunazotoa
Ayubu 41:11 inaonyesha na kuonya juu...
Mkuu jaribu kufikiri kuwa hiyo laki 6 unayolipwa Kuna mtu akisikia kuwa ndo bajeti yako ya mwezi haamini Kama unaishi na familia kwasababu kwake hiyo Ni pesa ya kupata vinywaji tu kwa wiki moja .
Point yangu Ni kwamba tunaishi kadiri ya kipato . Bajeti yake haiwezi kuwa sawa na Bajeti ya...
Endelea kusikiliza mchele na Gele rap bado ngumu kwako . Imani yangu Ni kwamba ukitoka hapo utahamia kwenye Trap . Bado kichwa chako hakiwezi kuhimili Punchlines.
Walichokifanya Kikosi Kazi Ni zaidi ya Diss unaweza kuita maangamizi ya halaiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.