Nko form five, nikakutwa naoga nje ya bafu na kma dkk 5 zilizopita walipita wanafunzi waliokua wakivuta 'msuba' wakaninong'oneza nisiwataje. Akaja discipline master akanihoji ni kina nani walopita, nkajitetea kwa kudai nlkua na sabuni machoni hivyo sikuwaona. Ticha akaona isiwe tabu, akanipa...
Hao "Watu wasiojulikana" ndo akina nani?!! Mi najua ndo walioBomb Imma Advocates, ndo waliomteka ROMA na ndo waliompiga risasi Mh. Tindu Lissu.
Hao ndo watu wasiojulikana. Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima yenu wanajamvi...
Naomba niulize....
Hivi kuwa na porn videos kwene simu ni kosa kisheria?!!
Naombeni msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzaliwa wa Ngara umekulia Rwanda. Pia una degree ya Procurement. Nahitaji mtu kma wewe. Ukija Dar nitafute. Na kama hutojali nitumie picha yako DM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona ivo, jua ration ya chakula imepungua. Yaani hawashibi. Watajiandikisha wataenda then trust me watarudi wakisikia ration ya chakula imeongezeka. Hawa wenzetu bana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.