Habari ndugu zangu,
Natafuta soko la mbegu za ubuyu, kila baada ya cku 3 nakusanya gunia, hivyo wote wenye kazi nazo km kuchanganyia kwnye chakula cha kuku,nguruwe n.k.
Naomba ni pm tuyajenge.
Check picha ni baadhi ya mbegu zenyewe
Habari?
Kama heading inavyoonekana, Mimi ni mfanyabiashara wa Ice cream( Barafu) hizi za tsh 100, Swali ni kwamba hilo katazo la kutotumika mifuko ya plastic na hii pia inahusika?
Ahsanteni na karibuni kunielewesha
Kwl tunatofautiana akili, kodi zetu wanalipwa watu sitting allowance kwa Azimio la kumpongeza/kumsifia mtu? Hapa nakumbuka wimbo wa Dully ~ Mr misifa.
Sitting allowance 200,000 x 235+ idadi ya wa bunge
Mkuu sorry ila itabidi uende ukapimwe akili aiseee kwa ku support ujinga huo, eti hakuna kupangiwa hela hzo hzo ni za kujengea nyumba, kwn ww unapangiwa matumizi? Nina wazi wazi ata huko kwenye familia yako
Mkuu sawa unaruhusiwa ila lazma kule bungeni wabunge wanaulizwa je mnahafiki tuujadili?sasa shida kwa wabunge wafuata upepo a.k.a ndiyo mzee wanaweza kataa. Mfno mdgo hyo mikataba ya madini mingine ilipitiswa bunge la 1995- 2000 wapinzani wanapiga kelele bt wabunge wa ccm wanawazomea na...
Hahahahahaha kumbe hauna uhakika?!!!!! bac kaa kimya.
Ushahidi kitu gani? mbna watu wanaushahidi na wamekutwa na hatia mwsho wa cku wemeishia kupiga deki wiki 1 na sasa kimya wanakula bata uswahilini tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.