Sikososi mkuu, mgangana upwa.....Hata akikuoa utakuta nini kasema anauza vyote.
Nimekuelewa komaa nae hadi mwanza hutakula wali mkavu.Sikososi mkuu, mgangana upwa.....
Umeona hata kama ni Sumbawanga na January hii. Lazima nimgande ka Ruba. Ntamwambia aniachie hivyo vitu kusudi akirudi Dar akute nimevifaadhi vizuri, si unajua mjini shuleNimekuelewa komaa nae hadi mwanza hutakula wali mkavu.
Jamaa ana bahati ngoja nami nipige picha vyangu labda nitaokota dodo chini ya MNAZIUmeona hata kama ni Sumbawanga na January hii. Lazima nimgande ka Ruba. Ntamwambia aniachie hivyo vitu kusudi akirudi Dar akute nimevifaadhi vizuri, si unajua mjini shule
Umeona, bahati yako jaribu mwaya. Sasa wewe piga fidge, microwave kitanda. Utapata fasta.Jamaa ana bahati ngoja nami nipige picha vyangu labda nitaokota dodo chini ya MNAZI
HahaTatizo tunashindwa kuwatofautisha na TISS
Kwii kwii.. Anataka fursaaHata akikuoa utakuta nini kasema anauza vyote.
cc britaniccaTatizo tunashindwa kuwatofautisha na TISS
Unamuona mwenzio ni majembe auction MartMkuu vp hauna fridge?