Nijuzeni kuhusu katazo la Mifuko ya Plastiki

M18

Member
Jan 3, 2015
76
28
Habari?
Kama heading inavyoonekana, Mimi ni mfanyabiashara wa Ice cream( Barafu) hizi za tsh 100, Swali ni kwamba hilo katazo la kutotumika mifuko ya plastic na hii pia inahusika?
Ahsanteni na karibuni kunielewesha
 
Kwanza hongera kwa kuwa mfanyabiashara, pili pole kwa kwa yaliyo/yatakayo kukuta.
Ndio hiyo mifuko ni Plastiki pia hivyo inaguswa moja kwa moja na katazo hilo.

Je uache biashara au utafute njia mbadara?
Naona utafute njia mbadara, na njia hii nikuanza utuamiaje wa Coated Layers kwa ajiri ya kufungasha prodakti zako.
Coated Layer (Ni kipande au tabaka la juu au chini kwa kuweka au hifadhi Barafu, Milkshake, Ice Creams nk.) Kama umewahi kutumia Ice Creams kuna kipande cha chini hutumika kwa kushikia pia huliwa na asili yake ni crunch/crispy 'Kuokwa fulani hivi'.
 
Mifuko yote ya plastic kuanzia June 1 haitaruhusiwa maendeleo yanakuja na gharama zake ndio inavyokuwa cha msingi tusubili tuangalie mifuko mbadala itakuwaje inawezekana na ya ice cream itakuwepo hii inaenda sambamba na wa kandoro ambao hofu yangu wanaweza kutumia chupa za maji zilizotumika wasi wasi wangu ni katika afya
 
Mifuko yote ya plastic kuanzia June 1 haitaruhusiwa maendeleo yanakuja na gharama zake ndio inavyokuwa cha msingi tusubili tuangalie mifuko mbadala itakuwaje inawezekana na ya ice cream itakuwepo hii inaenda sambamba na wa kandoro ambao hofu yangu wanaweza kutumia chupa za maji zilizotumika wasi wasi wangu ni katika afya
makamba ni mzembe! angalia twitter huko aliulizwa sjui mifuko gan akasema hiyo inaruhusiwa!

mie.nasubiri kuona muhimbili pale wakitumia makaratasi kubebea sindano na matakataka.mengine ya operation badala ya mifuko!

makamba anaendesha wizara kwa kutumia twitter
 
Kwanza hongera kwa kuwa mfanyabiashara, pili pole kwa kwa yaliyo/yatakayo kukuta.
Ndio hiyo mifuko ni Plastiki pia hivyo inaguswa moja kwa moja na katazo hilo.

Je uache biashara au utafute njia mbadara?
Naona utafute njia mbadara, na njia hii nikuanza utuamiaje wa Coated Layers kwa ajiri ya kufungasha prodakti zako.
Coated Layer (Ni kipande au tabaka la juu au chini kwa kuweka au hifadhi Barafu, Milkshake, Ice Creams nk.) Kama umewahi kutumia Ice Creams kuna kipande cha chini hutumika kwa kushikia pia huliwa na asili yake ni crunch/crispy 'Kuokwa fulani hivi'.

Ushukuriwe kwa maelezo ya kina, nitaomba unikosoe kama nilichokisia nimekielewa vibaya. Nilikisikia ni kwamba mifuko ya plastic (vibebeo) ndiyo ambayo haitaruhusiwa kuanzia 1 June 2019 lakini vifungashio kama vya madawa, chakula, sabuni vitaendelea kutumika kwa muda.
 
makamba ni mzembe! angalia twitter huko aliulizwa sjui mifuko gan akasema hiyo inaruhusiwa!
mie.nasubiri kuona muhimbili pale wakitumia makaratasi kubebea sindano na matakataka.mengine ya operation badala ya mifuko!
makamba anaendesha wizara kwa kutumia twitter
Kondom ina oza wanaweza kutumia material yaliyo tengeneza kondom lakini mi nina amini technology ni kubwa sana lazima mifuko mbadala na bora itakuwepo
 
Ushukuriwe kwa maelezo ya kina, nitaomba unikosoe kama nilichokisia nimekielewa vibaya. Nilikisikia ni kwamba mifuko ya plastic (vibebeo) ndiyo ambayo haitaruhusiwa kuanzia 1 June 2019 lakini vifungashio kama vya madawa, chakula, sabuni vitaendelea kutumika kwa muda.
Oh sawa Asante pia kwa kunisahihisha, sikujuwa hilo.

Nyongeza: Marufuku hii ya mifuko/vifungashio vya plastiki itawezesha kuongeza thamani biashara nyingi za watu kuanzia wafanyabiashara wadogo hadi wakubwa.
Pia itatoa nafasi au ajira na fursa kwa watu mbalimbali. Mfano, Illustrators, Calligraphers, Graphic Designers. Watafanya kazi nyigi za ku-Brandi product za wajasiriaamali na wafanyabiashara.
Utunzaji wa mazingira na kuwa na sehemu salama za viumbe hai kuishi ni suala bora kabisa.
 
Ahsante mkuu kwa maelezo
Kwanza hongera kwa kuwa mfanyabiashara, pili pole kwa kwa yaliyo/yatakayo kukuta.
Ndio hiyo mifuko ni Plastiki pia hivyo inaguswa moja kwa moja na katazo hilo.

Je uache biashara au utafute njia mbadara?
Naona utafute njia mbadara, na njia hii nikuanza utuamiaje wa Coated Layers kwa ajiri ya kufungasha prodakti zako.
Coated Layer (Ni kipande au tabaka la juu au chini kwa kuweka au hifadhi Barafu, Milkshake, Ice Creams nk.) Kama umewahi kutumia Ice Creams kuna kipande cha chini hutumika kwa kushikia pia huliwa na asili yake ni crunch/crispy 'Kuokwa fulani hivi'.
 
Habari?
Kama heading inavyoonekana, Mimi ni mfanyabiashara wa Ice cream( Barafu) hizi za tsh 100, Swali ni kwamba hilo katazo la kutotumika mifuko ya plastic na hii pia inahusika?
Ahsanteni na karibuni kunielewesha
Ndio unaguswa moja kwa moja na tangazo hilo
 
Back
Top Bottom