Habari ndugu zangu,
Natafuta soko la mbegu za ubuyu, kila baada ya cku 3 nakusanya gunia, hivyo wote wenye kazi nazo km kuchanganyia kwnye chakula cha kuku,nguruwe n.k.
Naomba ni pm tuyajenge.
Check picha ni baadhi ya mbegu zenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.