Mara nyingi huwa nafanya jogging asubh hasa hasa siku za weekend coz ratiba ya kazi pia inabana...
Nina tatizo la kubanwa na kichomi wakati wa jogging, nahitaji kutaka kujua tatizo hili linasabishwa na nini na nifanye nini ili kuepuka na hali hyo?
Kuna madhehebu mangapi ya kikristo? Katika hao wakristo ukiniambia hao wote ni wasabato pekee nitakuelewa kwamba kuna udini ila kama ni wakristo katika dini tofauti sijaona udini hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.