Recent content by M.Gya

  1. M.Gya

    Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

    Nadhani jamii forum sio sehem ya vyombo vya habari...
  2. M.Gya

    Hivi Mandingo ni nani?

  3. M.Gya

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Looking forward kumuona Zuma akirejea although usajili wa keane utasaidia kwa replacement ya captain Terry
  4. M.Gya

    Fitness and wellness

    Runtastic, map my run, map my walk
  5. M.Gya

    Fitness and wellness

    Mara nyingi huwa nafanya jogging asubh hasa hasa siku za weekend coz ratiba ya kazi pia inabana... Nina tatizo la kubanwa na kichomi wakati wa jogging, nahitaji kutaka kujua tatizo hili linasabishwa na nini na nifanye nini ili kuepuka na hali hyo?
  6. M.Gya

    TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

    Kuna madhehebu mangapi ya kikristo? Katika hao wakristo ukiniambia hao wote ni wasabato pekee nitakuelewa kwamba kuna udini ila kama ni wakristo katika dini tofauti sijaona udini hapo.
  7. M.Gya

    Mnaotaka kuolewa msionjeshe

    Member mwingine huyu hapa... Tusinyimane jamani
  8. M.Gya

    Dogo Jembeee! Awapoteza watu wazima kwa Maujuzi ya 6*6! Mdogo lakini mzito!

    Sasa huo ushanta Shanta ndo nini vile????
  9. M.Gya

    Rough sex

    Rough road
  10. M.Gya

    Kulala bila nguo ya ndani (kyupi)

    Uwiiiii Sipati tabu kuiweka
Back
Top Bottom