Recent content by M.G.

  1. M

    Bandari Dar kupokea na kufungua gati namba tatu baada ya siku 10 kuanzia sasa

    Hapa duniani hapatatokea Rais hata mmoja atakaye tenda mazuri pekee.JPM anajitahidi kutuwekea misingi ya maendeleo kama Taifa.Mtu Mwenye kuzingatia sheria na kufanya kazi kwa bidii atanufaika sana.
  2. M

    Lugalo kusafisha figo kwa bei nafuu

    Taifa linasonga mbele.
  3. M

    Bandari Dar kupokea na kufungua gati namba tatu baada ya siku 10 kuanzia sasa

    Wakiona taarifa kama hizi wanakunja mikia hadi unawaonea huruma.
  4. M

    Bandari Dar kupokea na kufungua gati namba tatu baada ya siku 10 kuanzia sasa

    Hizi ndio kazi za serikali,sio maneno na porojo.Hongera JPM.
  5. M

    Kituo cha sheria na haki za binadamu chafufua mjadala wa Katiba Mpya

    Mkuu watu wengi wanaongea kwa mihemko,hawajui mambo mengi.
  6. M

    Lowassa Atoshaa: Wajumbe wa NEC YA CCM Wanena

    Lowassa ni kiongozi atakayetusaidia sana.
  7. M

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Nyerere ndio BABA wa taifa hili.Hatatokea mwingine.Watakuja marais wengine watapita na tutawasahau.
  8. M

    Jenista Muhagama; Uchaguzi chuo kikuu Mzumbe haukuhusu

    Ana GPA gani?Katiba inasemaje kuhusu GPA inayotakiwa?
  9. M

    Ufugaji na kilimo unalipa sana

    Mkuu ninashukuru kwa kunihamasisha.Kuna eneo umepiga kwenye plan zangu.
  10. M

    Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya katika rasimu ya II ya katiba mpya!

    Hilo linasubiri katiba ya Tanganyika yetu.
  11. M

    Siangalii mwanamke mara mbili.

    Hahaha.Ni kazi ya mikono yake.Tupia macho.
  12. M

    Siangalii mwanamke mara mbili.

    Nadhani ukiangalia na baada ya kuangalia ukashinda vishawishi unakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi.
  13. M

    Pole January Makamba

    Jamani IKULU kuna nini?
Back
Top Bottom