Lowassa Atoshaa: Wajumbe wa NEC YA CCM Wanena

Lowassa Atoshaa: Wajumbe wa NEC YA CCM Wanena

Kule dunia kabla mchezaji ajapewa mkataba kwenye team anayotaka kuamia, ni sharti kwanza afuzu vipimo vya afya. Ningefurahi sana kama hiyo system ingekuwa applied kwenye mfumo wetu wa kumpata raisi.
 
Ccm walikubali mgombea binafsi kuwekewa Masharti. Moja likiwa ni ; mtu akijiondoa kwenye chama hataruhusiwa kugombea kama mgombea binafsi hadi after 5years baada ya kuhama. Wajumbe wote wa bmk waliopiga kura za ndio wote wakiwa wanaccm wakaunga mkono. Sasa huo ndo ulikuwa mtego wa ENL aliotegesha kupitia kwa Mzee wa Vijisent baada ya kujua majority ya NEC ya ccm wanamuunga mkono. Hivyo Sita membe; wasira, etc ndoto zao za urahisi ndo zimegonga mwamba.
 
Hivi we saa nane umepewa kitengo gani saizi?
Cha kubeba sumu nani ameachiwa?
 
Kule dunia kabla mchezaji ajapewa mkataba kwenye team anayotaka kuamia, ni sharti kwanza afuzu vipimo vya afya. Ningefurahi sana kama hiyo system ingekuwa applied kwenye mfumo wetu wa kumpata raisi.
Mtahangaikaaaaaaa lakini hamtashinda......mumeimba wimbo wa ufisadi tokea 2008 saizi umechuja mumekuja na afya
 
Ccm walikubali mgombea binafsi kuwekewa Masharti. Moja likiwa ni ; mtu akijiondoa kwenye chama hataruhusiwa kugombea kama mgombea binafsi hadi after 5years baada ya kuhama. Wajumbe wote wa bmk waliopiga kura za ndio wote wakiwa wanaccm wakaunga mkono. Sasa huo ndo ulikuwa mtego wa ENL aliotegesha kupitia kwa Mzee wa Vijisent baada ya kujua majority ya NEC ya ccm wanamuunga mkono. Hivyo Sita membe; wasira, etc ndoto zao za urahisi ndo zimegonga mwamba.

Uchaguzi wa 2015 kwani tunatumia katiba gani mkuu
 
Lowassa ni mtaalam wa propganda chafu. Ila kwa sasa kikwazo chake kikuu ni afya yake tu japo wapambe wake wanzanidi kueneza propaganda kuwa yuko fiti.
 
Huyu ndiye jembe lilo baki ccm kwa sasa ushindi mnene 2015
 
tunaona utafiti wako unavo ufagilia. hongera ila mwambie boss wako EL sasa hivi ni zamu ya WAZANZIBAR yeye asubirie baada ya miaka 10. ndo ajaribu.
Hhahahahahaha mkuu hata akitoka zanzibar ili iwe winning team lazima akae chini a- negotiate na Lowassa, uwezi amini jamaa nguvu aliyonayo ndani ya chama na nilivyoshuhudia Dodoma ni zaidi ya Tsunami
 
Ukiangalia kwa umakini nchi hii na serikali yake haina maadili kabisa, Lowasa anakashfa kibao, kule bunge la katiba limeongoza na watu wenye kashfa, mfano Chenge na mahalu. Kimsingi ccm inaongozwa na watu wachafu kisiasa, kwa mwananchi mwenye akili timamu hawezi kushangaa ccm wakimshabikia Lowasa aingie ikulu kwa sababu wote ni wa aina yake. Ndo maana wamechakachua katiba hii ili maadili ya viongozi wapigwe chini ili waendelee na wanasiasa wachafu, days are numbered to get ready off shirtty leaders
 
Lowassa ni mtaalam wa propganda chafu. Ila kwa sasa kikwazo chake kikuu ni afya yake tu japo wapambe wake wanzanidi kueneza propaganda kuwa yuko fiti.
Kuna mtalaamu wa propaganda chafu kuliko Bernad Membe, kazi yake kubwa pale usalama ni Disinformation (is intentionally false or inaccurate information that is spread deliberately. It is an act of deception and false statements to convince someone of untruth-wikipedia), hiyo ndio kazi kubwa ya Membe......Alianza Kitine, akaja kwa JK, akaja kwa Apson, akaja kwa Othman, akaja kwa Lowassa, na saizi anammaliza Pinda kimya kimya kwa kupeleka majungu kwa JK
 
Ukiangalia kwa umakini nchi hii na serikali yake haina maadili kabisa, Lowasa anakashfa kibao, kule bunge la katiba limeongoza na watu wenye kashfa, mfano Chenge na mahalu. Kimsingi ccm inaongozwa na watu wachafu kisiasa, kwa mwananchi mwenye akili timamu hawezi kushangaa ccm wakimshabikia Lowasa aingie ikulu kwa sababu wote ni wa aina yake. Ndo maana wamechakachua katiba hii ili maadili ya viongozi wapigwe chini ili waendelee na wanasiasa wachafu, days are numbered to get ready off shirtty leaders

Maadili gani mabovu kuliko kuchukua mke wa mtu hata katika biblia imeandikwa usizini wala kufanya uasherati kama alivyofanya Slaa na Mbowe.
 
Alisema atakimbia nchi
Hata 2005 Nape alisema Jakaya akishinda atakimbia nchi, ila mpaka sasa tunaona yupo kajaa tele, Nape hana jipya na always ajitambui ni wa kumuacha kama alivyo
 
Back
Top Bottom