"Pamoja na msafara wa waziri mkuu kutoka Uwanja wa Ndege wa Nduli kuwa na magari 54, yakiwemo ya watu binafsi, wabunge na viongozi wa vyama vya kisiasa, bado idadi ya magari ilionyesha kufikia 84 katika eneo la Mazombe, kwenye uzinduzi huo, baada ya magari mengine kutangulia katika eneo la...