Nimeguswa na aina ya maadili waliyonayo watoto wa kizazi cha leo, ni kama wazazi wameacha majukumu yao katika malezi.
Wakati wa malezi yetu tulifundishwa hasa watoto wa kiume shughuli zote za nyumbani, ili kuwa tayari kukabiliana na changamoto za maisha. Pia kwa watoto wakiume walipewa mafunzo...
Wadau naomba kujuzwa. Nimelima pilipili ila baada ya mzao wa pili kwenye majani imejitokeza kama ukungu kwa chini na mimea ni kama imeanza kudhoofu.
Tafadhali nini sulihisho sbb nimejaribu kuzunguka na jani kwa maduka ya pembejeo majibu ni kama yanachanganya.
Ahsanteni.
Habari wana jf,
Nimedownload music videos katika laptop yangu shida inakuja pale ninapoweka katika flash ili niangalie kupitia dvd napata message not supported. Nashindwa kuelewa tatizo nini hasa ahsante.
Jambo wadau,
Naomba kwa mwenye kujua, nimekuwa nikikinga maji ya mvua ila yakikaa baada ya muda huwa yanakawaida ya kuteleza. Nifanye nini ili yakae muda mrefu ukichukulia hali ya upatikanaji wa maji ni íssue.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.