Merlin hotelWadau kama heading hapo juu nataka kufanya ziara binafsi maeneo ya mafinga ni wapi sehemu murua ya kupata accomodation .na vipi bora bed and breakfast, full board au just bed ?then nikale mitaani ?nitakaa kwa siku kama nne hv
Asanteni
Kuna mama mmoja Bosi hapo mafinga naye ana guest kali nimeisahau jina...luvanda hotel iko poa mkuu karibu sana.
Mkuu mimi si wa zile za wanaoenda kukata mauno kwa muda mfupi .Siku zote ukitaka sehemu nzuri ya kulala, ondoa neno Guest house, ongea kwa lugha ya Lodge au Hotel. Merlin is a good place for both, rooms, drinks etc. Ni pesa yako tu mkuu. Labda kama pesa yako ni ya level ya guest houses.
Mkuu, Hizo ndo Hotel au Lodge. Siyo unakwenda sehemu imeandikwa Guest house, huko hukosi kuamka na mafua asubuhi.Mkuu mimi si wa zile za wanaoenda kukata mauno kwa muda mfupi .
Nataka nijisikie niko home nalala naamka nakula nakunywa nakunya!
Sent using Jamii Forums mobile app