Kuna waliofanya usaili tarehe 10 October 2025 lakini Leo Tena Kada hiyo hiyo limetoka tangazo la kaza ikiwa hata Bado hawajapangiwa vituo vya kazi waliofanya usaili.
Hii ina maana gani wataalamu?
Wakuu bila shaka mnaendelea vizuri katika kupambania kupata Check Number.
Naomba msaada namna ya kuondoka CHETI cha Taaluma kwenye mfumo wa kutuma maombi Utumishi (ajira portal)
Raha ya hizo Marks ni, zote zinagawanyika Kwa mbili (2) pia interval kati ya marks moja na nyingine ni mbili (2) [emoji23][emoji23].
Utumishi hadi raha ni mwende wa kukadiria tu
Kwa yeyote anayepatikana maeneo ya KAHAMA na anajihusisha na hii biashara naomba kujua yafuatayo kuhusiana na hii biashara:
1. Location ambayo ukiweka biashara hii unaweza kupata walau faida japo kidogo
2. Kiasi Cha chini Cha mtaji ambao mtu anaweza kuanza nacho
3. Maduka ya jumla yanayouza...
Wakuu bila shaka siku inaenda kadri mwenyezi Mungu anavyojalia.
Nisiwachoshe Kwa maneno mengi, naomba niende moja Kwa moja kwenye mada.
Binafsi nimetokea kuvutiwa Kimuziki na hili kundi la Vijana wawili "THE FiVa" ambalo nimekuwa nikilifuatilia toka mwanzo.
Ni Vijana wawili ambao wameungana...
Toa copy vyeti vyako harafu hizo copy ndo uka'certify Kwa mwanasheria.
Kumbuka kwenda na original certificates Kwa mwanasheria maana kabla haja'certify hiyo copy lazima aone original yake kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.