Samehe kaka kumbuka hata mkombozi wa dunia hii alisamehe wale waliomsulubu msalabani mpaka. Kumuua ni. nani asiye na dhambi kaka? Usinyooshe kidole kimoja kwa mwenzio huku vingi vinakutazama wewe. Samehe na utubu.
Yatupasa kuwa makini na siasa hizi kwani pasipo umakini mkubwa tutaiangamiza nchi yetu, kikubwa ni kupata viongoz walio makini kwa maslahi ya nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.