hatari heri shetani kuliko cdm!? Lkn kila raia anauhuru wa kutoa mawazo yake.
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania[/QUOTE
]
Whereas
Shetani=CCM
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
77%......Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania
Hahaha hahaha hahaha magamba ni chama kinacho endeshwa katika misingi ya ubakaji wa wasichana chini ya miaka 18...wizi, ufisadi, rushwa , uongo, umbeya , unafiki, uchawi na uzandiki.
CHADEMA inakomboa watoto wanaobakwa na kunajisiwa na MaCCM huku wakiambukizwa ukimwi na makapuya bila hatua zozote kuchukuliwa na dola iliyowekwa mfukoni na mafisadi wachache...
CHADEMA inakomboa Tembo wanaouliwa kila kukicha na makinana ambayo ndio maviongozi ya juu ya maccm huku Tembo wakibaki helpless na hatarini kutoweka wakati hakuna mwanaccm hata mmoja anayewajali...
CHADEMA inakomboa akina mama wanaojifungua kwa kulala sakafuni, wanaobahatika kulala kitandani wanalala wanne, huku mafisadi ya CCM yakitibiwa nje ya nchi au katika hospital zao chache teule. Mafisadi ya CCM yamejitenga na walalahoi, wao V8 sisi Bajaj ambulance...
CHADEMA inakomboa watoto wa watanzania wanaosoma kwa kukaa chini, bila kuwa na vitabu wala maabara na mwishowe wanaishia KUONJESHWA ELIMU. Watoto hawa walioonjeshwa elimu bila kuipata wanaishia kuteseka na maisha magumu bila ajira na hivyo kugeuka wachuuzi na bidhaa mikononi huku mabinti wakiamua kujiuza ya maccm makapuya yanawaambukiza ukimwi na ndoto zao za maisha zinazimika...
More to come...
sijaona mantiki wala hoja yoyote ktk uzi wako. Jitahidi kuwa karibu na wanafalsafa ili wakusaidie ''kureason''.hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa tanzania
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania
Shetani wa watz ni ccm na vitendo vyake vya kifisadi,ujangili,uuzaji wa dawa za kulevya,ubakaji,mauaji ya raia kupitia ccm na tissiem,uchawa (kumbuka chenge bungeni) na kila aina ya uchafu.2015 huyu ibilisi ccm tutamtupa kwenye ziwa la moto ambako mafisadi na vibaraka vyake kama wewe mtalia kilio cha kusaga meno.
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania
mimi mwenyewe mwanafalsafa,sihitaji wanafalsafa uchwara
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania
mimi mwenyewe mwanafalsafa,sihitaji wanafalsafa uchwara