Kwani biblia iliandikwa kwa lugha gani? Wewe uoni unajitafsiria mwenyewe. Weka maneno katika lugha yake ksma ni kiebrania alafu ndio utafsiri. Kama aliyetafsiri kutoka kiebrania alikosea je tafsiri yako itakuwa sahihi?
Kuna doubt nyingi kwenye hiki kitabu by the way
Hawa jamaa naongea sana wanapoteza pesa nyingi kwa kusafiri nje ya nchi. Hakuna lolote. Wanategemea utabiri wa wa vyombo vya nje ndio wanafanya utabiri wao. Wanawachanganya sana wakulima. Ni bora hili shirika lufutwe lisiwepo kisha wananchibwawe wanaambiwa kupitia CNN na BBC
Butcher zq Nguruwe zimejaa kama uyoga. Zinauzwa sehemu zilizokatazwa kikatiba.
RC MAKALA baada ya wamachinga zihamishe pia na hizi butcher kama katiba inavyotaka
HUO NI UONGO MKUBWA KABISA. NCHI HII HAINA CHOMBO ZAIDI YA POLISI KWA UPELELEZI TUNAKOSEA SANA TUNAPOLIAMINI JESHI L polisi kutoa taarifa..HATUNA LA KUSEMA MUNGU ATAHUKUMU HAKI KESHO . TZ IMETAMALAKI DHULUMA TU
KWA NINI NASEMA NI UONGO KWA DEREVA WA MALOLI KAMA MIMI NI IMPOSSSIBLE...
Machinga ni kundi dogo wala halitishi. Ni makosa aliyoyafanya JPM kuwaweka barabarani. Angalia Dumila amewajengea ndani ya reserve ya barabara.
Kuna siku nilikwenda Dar eneo linaitwa Mbagara ni hatari nilitembea kwa miguu kwa taabu kubwa kwani machinga wapo barabarani kabisa yaani unalazimika...
Bado kuna shida waliowekwa hawajui jinsi ya kuongeza mapato.Nasikitika na nchi yangu. Sidhani kama aliqualify kwenye hii taaluma au ndio zile paper zinazovuja huko ajira portal.
Hapo kutakuwa haina haja ya wanasheria. Kazi ya kukagua gari na kuwepo kwa wanauhuziana linamalizwa na vehicles...
Hakuna lolote.
Kwani Tanzania tunauza madini moja moja kwa kwenye Soko la dunia? Au tunaziuzia kampuni kwenye local market na wao wanawauzia matajiri wakubwa wa middle east na Asia ambao makumpuni ya nchi zao ndizo wanauza kwenye soko la dunia???
Hakuna alichoongea pumba tupu. Kumbuka...
Wakifanya wengine ni miujiza wakifanya waafrika ni uchawi...ha ha ha...mzungu bana.yaani mababu zao waliokufa mnawaita watakatifu wakwenu ni mizimu hahaha.
Wauluze wenyewe hicho ni katika dini yao?,,,,,
Mbona sio wengi. Hiyo Hiace inajaa watu 20 na wao wapo 25 tu. Kaonewa Dereva.
Waje Morogoro vijijini waone Gari kama hiyo Dyna inajaza watu 40 mpaka juu ya carrier na mizigo ya mhaindi maharage ndizi zinapandalisha nao milima ya Uluguru.
Waje waone Moro Mgeta Nyandira wanavyojaza
umenichekesha wewe. jaribu kuomba kibali cha kufanya biashara ya mazao nje ya nchi. ndio utajua urasimu ni nini?. utatembea wewe kutafuta vibali mpaka mahindi yatakutana na ya mavuno ya mwakani hujapata kibali
hapana mkuu, mimi nina account 1 tu humu. na ananifahamu mtu mmoja tu humu. siwezi fanya kama wanavyofanya wengine si vizuri kutaja ila wanaaccount 7.
naeleza kisa cha kweli hakuna hata chembe ya uongo
SEHEMU YA 5
Naomba niendelee kidogo leo kwa wale wanaofuatilia. Maisha usikate tamaa. Jaribu kila linalowezekana ingawa tu kiwe ni cha halali na usizulumu mtu. Mungu si athumani. Mgaa na upwa hali wali mkavu..
Basi mbele niakona kama kiza hivi na ilikuwa ni ishara ya kundi kubwa sana la ndege...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.