Recent content by luvihe

  1. L

    Kama Eva asingekula tunda la mti wa kati

    Historia ya Adam na Ever ni fumbo lililopo katika code kwa hiyo ni lazima udicode ndio utaelewa dhana nzima ya uumbaji
  2. L

    Ufafanuzi kuhusu tunda la mti wa katikati

    Orgasim chanzo cha matatizo duniani
  3. L

    kitabu cha morals and dogma by A.Pike

    ungefanya kutuwekea na waandishiingekaa powa zaidi
  4. L

    A day in the Buddhist college

    Hicho kitabu nimekitafuta sana.waweza nisaidia nikipate.samahani kwa kudandia treni
  5. L

    Tambua Usawa Uliopo Kati ya Ufahamu, Akili na Uhalisia wa Maisha Yetu

    Asante sana kaka.Mungu akupe moyo huo huo wa kuelimisha wengine
  6. L

    Yuko wapi Dr. Ndodi

    yupo pale magomeni mwembechai.jamaa alishanilapua laki mbili zangu na sikupona wala nini akasema niongeze laki nne anipe dawa zingine.nikapotea kimoja
  7. L

    TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

    asante mheshimiwa.nipo job nimejaribu hii ya namba ila naona najiwa na usingizi.tuelezee zaidi kuhusu haya mambo.na hii ya ardhi inakuwaje mkuu
  8. L

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    nahisi mimi nina divination powers.lakini nashindwa namna ya kuzidelop.
  9. L

    Oh! Picha Ya Aibu Hii... Hivi Watanzania Tunapenda ' Vurugu Mechi!' ?

    Du hi hatari.nafikiri cha msing i ni kuchambua hoja ya mtu si kumshambulia mtu personall H iyo ndio busara
Back
Top Bottom