mbalila
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 824
- 161
RIP ndondiWanaJf naomba kujua alipo huyu jamaa mtanzania mwenzetu, dr Ndodi, mtaalamu wa dawa za asili maana alifanya sana kazi ya kusaidia baadhi ya watanzania.
RIP ndondiWanaJf naomba kujua alipo huyu jamaa mtanzania mwenzetu, dr Ndodi, mtaalamu wa dawa za asili maana alifanya sana kazi ya kusaidia baadhi ya watanzania.
Sio tapeli kama unavyosema bali aliweza kutoa elimu ya bure kabisa kupitia Star TV. Anastahili kukumbukwa
Nenda pale ubungo kibangu utamwona
Bongo hata ufanye vizuri vipi bado utasimangwa tu, hao wanaolalamika kuwa ni tapeli ni wale waliokuwa hawana uwezo wa kupata dawa zake kutokana na kuwa bei juu, na katika wataalam wa tiba asilia hapa nchini dawa za dr. ndodi ndio zinaaminika, kama kuna mtu aliwahi kupewa dawa na ndodi asipone aje hapa.
Mkuu huyo dr. ndodi kwa sasa sina hakika kama yupo nchini, ila kuna mdau mmoja aliwahi kusema hapa jukwaani kuwa yupo na ana ofisi yake magomeni.
Tusimbeze Dr.Ndodi amesaidia sana,ametupa elimu ya afya bure kupitia Luninga ya Star TV na EATV.
Tusimbeze Dr.Ndodi amesaidia sana,ametupa elimu ya afya bure kupitia Luninga ya Star TV na EATV.
Kama umekosa cha kuchangia unakaa kimya, pumbavu mkubwa weee.
akili zako kama za dr ndodi!
Mzee wa upako yupoo???
acha matusi we mtoto pengine mi ndo babaako!
nadhan atakuepo pale mwembechai magomeni! ulizia itumbi hotel
yupo pale anapiga hela river side za mateka wake alio waokota pale ,, na anzipiga kwelkweli!
Yupo kwao Songea anakula maisha, labda tu nikuambie mtaa anaokaa ili ukamuulizie................WanaJf naomba kujua alipo huyu jamaa mtanzania mwenzetu, dr Ndodi, mtaalamu wa dawa za asili maana alifanya sana kazi ya kusaidia baadhi ya watanzania.
pole sana mimi nishampeleka bibi yangu dah nlikula maumivu tukaja enda tena tukatoaaaaa......baada ya muda tukaenda tena akataka zaidi ah tukashtukaaaa tukala konayupo pale magomeni mwembechai.jamaa alishanilapua laki mbili zangu na sikupona
wala nini akasema niongeze laki nne anipe dawa zingine.nikapotea kimoja
Mkuu huu uandishi wako sio mzuri kwa matumizi ya mtandaoni, kumbuka kila unachoandika unaandika kwa ajili ya wengine, ukitegemea kusomwa, sasa unapoandika bila kufuata taratibu za lugha ya kiswahili na masharti ya jf unataka nani asome na kuheshimu ulichoandika? umetoa wazo zuri tatizo ni lugha uliyotumia.
Badilika kwa manufaa ya wengine.