Recent content by Luv4ril

  1. L

    Kama Rais Magufuli anaua Upinzani, kwanini Wananchi wako kimya?

    Hivi utamlaumu nani kwa kukosa nidham ya imani yake? Hata Sheria ya nchi haiwez kuingilia sembuse hao watanzania?
  2. L

    Kijana aliyetuma picha za Nyufa za Hosteli za Magufuli UDSM akamatwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Kinachoshangaza ni kuwa watu wengi wanalaumu serikali na sio mkandarasi. Kwa upande mwingine Dogo anatakiwa aachiwe tu huru kwasababu yeye ni whistle blower. Technically, siasa ilivyo rahisi ni Muheshimiwa kumchukulia hatua mkandarasi halaf anajizolea point zote 3 maisha yanaendelea.
  3. L

    Electronic money system(Mobile money system) ni mfumo wa kishetani

    Yaani we ndio kwanza kutumia hiyo mifumo. Ushashikwa na shida sanaa tu na ukasaidiwa kwa tigopesa au mpesa. Nije kwenye point ya kishetani na Antichrist. Naamini wewe ni muislam, na kama unasoma Qur'an bas ntakayoongea hapa utayaelewa vzuri tu. Mwenyezi Mungu kwenye Qur'an anamfananisha...
  4. L

    Viongozi wa CHADEMA acheni kiburi, kubalini makosa na iombeni radhi Serikali, hali ya Lissu si nzuri

    Sasa iombe radhi iliiweje?? Mtu yanapomfika majanga hupewa pole, kumfariji, na msaada ikibidi sio kuombwa msamaha. Utaratibu wa matibabu ya Wabunge inajulikana. Wanabima ya afya, ambayo huwezesha kumsafirisha na kupewa matibabu ndani na nje ya nchi. Ambapo bima ya afya hiyo imeingia mikataba na...
  5. L

    Tetesi: Rolls Royce la Diamond liko njiani kutua Dar punde

    Haina mvuto kwa macho yako.. Kwani hata bugatti, Ferrari hazina mvuto mvuto kabisa.
  6. L

    Tetesi: Rolls Royce la Diamond liko njiani kutua Dar punde

    Part of branding... Ukimuhitaji sasa uweke dau la maana. Congratulations to Diamond Platinumz.
  7. L

    Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

    Tumechelewa sana. Hapa serikali ndio ilikuwa ikikosa fedha nyingi mno. Harmonization ilitakiwa iwepo kwa Mitandao yenyewe.. Sio kuwaangushia mzigo Wananchi. Haya ndio mabadiliko.
  8. L

    Fatuma Karume: CCM just shoot in the dark

    Mbona kama kaishiwa cha kusema.. Yaani tumeishia sisiem sisiem that's it hakuna jipya. Show us how it's suppose to be done. Then critise.
  9. L

    Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

    Ninamshaka na kilichopo kichwani mwako, unafikiri kila anaekwenda UN anazungumza kiingereza? Obama hamkumzika Mohamed Ali kisa mwanae ana graduate. Marais kutoka sehem mbalimbali walikwenda kumzika..? Ulimwengu wa diplomasia sio wa kishabiki wa kisiasa kama unavyodhani.
  10. L

    Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

    Well.. Everyone has a story to tell.. Ni changamoto tu za kidunia. Love isn't easy. Stay strong, hiki ni kipindi cha mpito tu love never ends but its gonna shape up your attitude so be very careful with yourself. Make a self analysis kujua ulipojikwaa and move on huku ukijaribu kutatua...
  11. L

    Hakiyanani.. Nimeamini demu wangu muaminifu!!!

    Huku ni kupatwa kwa akili... Yaani unataka kula hela za wehu wenzako mchana kweupe?
  12. L

    Diamond Muwekee Ulinzi (BODYGUARDS) Tiffah

    Ujumbe utamfikia
  13. L

    Ndege za kijeshi angani muda huu ni vitisho kwa wananchi?

    Tunataka kutengeneza mlima kwenye kichuguu. Tunaongea sanaa.. Tupunguze kelele tupige kazi. Tanzania bado ni nchi huru, tuiienzi kwa mapenzi yaliyo ya dhati sio unafki. Tunamaadui wengi zaidi nje kuliko sisi kwa sisi.
Back
Top Bottom