Electronic money system(Mobile money system) ni mfumo wa kishetani

Electronic money system(Mobile money system) ni mfumo wa kishetani

Kinachonichekesha ni hiyo fact ya kuhalalisha.

Kwakua hautaweza kuwaambia mgahawani nakula naleta baadaye ndiyo usujudie?
 
Wakati shetani anamjaribu yesu, alimwahidi kumpa falme zote za dunia. Shetani hakua na haja ya ku "bluff" mbele ya yesu kwa kua alijua yesu anaujua ukweli. Hivyo basi falme za dunia zipo chini ya shetani, hii ni baada ya purukushani zake huko mbinguni kuwa "too much" mikaeli yule malaika "mwenye nguvu" na jeshi lake wakaamua kumkamata shetani na jeshi lake wakamtupia duniani. Anyway mungu ameahidi kuja kuli "solve" tatizo la shetani "once and for all" baada ya ujio wa yesu wa mara ya pili. So ni matumaini suluhu ya kudumu itakua imepatikana by then. In the mean time, hang in there dear human beings, shetani is running the show for now. Live with it!!
 
Ila sisi wakiristo tuna matatizo sana yaani kila kitu kimekuwa ni "anti-Christ" hivi hujui kuwa kuna waislam, mabudha, Confucius n.k au hawa wenyewe hawatumii e-money
umeajuaje alieyeandikanai Mkristo....na unajuaje kila Mkristo ana fikra ndogo kama wewe?
 
Ukiendelea kufikiria kila kitu utakuja usitumie hata kimoja kwa sababu utasema vyote ni vya kishetani....Maisha yenyewe tunapita hapa duniani kwa hiyo usiumize kichwa sana!!
Kwa hoja yako hata kifaa ulichotumia kuingia JF ni cha kishetani maana wao ndo wanatuletea.
 
Uko sahihi.
Ila watu wajue tu kwamba kutumia hizi njia kwasasa si dhambi ila watakaoishi huko mbele ya safari wanamtego mkubwa
 
Hata wewe kuishi ni ushetani! Unalala usingizi hujitambui halafu kesho uko oky!!! Hebu ona yai na mbegu vinatoa mtu haiwezekani!!! Jiue aiseee
 
Electronic money system kama mobile money transfer,simbanking na nyinginezo ambazo zimegeuza mfumo wa pesa kutoka kwenye makaratasi mpaka kuwa interm of electronic digits ni moja ya mafanikio ya mfumo wa kishetani ambao mastermind wake ni waisrael under Dajjal (Anti-christ).
Kwanini ni mfumo wa kishetani??!
Kama inavyoeleweka katika zama za mwisho za dunia mpinga kristo na wafuasi wake wana nia ya kuicontrol dunia na moja kati ya njia za kucontrol watu ni kucontrol mfumo wa kipesa.
Jinsi gani wanaeza kucontrol mfumo wa pesa?!
Itafika kipindi hakuna mtu ambae atakua na pesa za makaratasi kama tulivyozoea,kila mmoja wetu atakua na pesa zake zimehifadhiwa katika mfumo wa kielectronic yani mfano katika mpx nk na pia katika manunuzi watu wataacha kutumia pesa za makaratasi watu watakua ni mwendo wa kuswap na kutransfer electronically..Nadhani hili linaeza kuthibitika sasa hivi kwani mtu unaeza kufanya mauzo na manunuzi bila kushika pesa physically.
Sasa time yao iyapofika watazima electronic system za eneo watalopenda chukulia mfano network ikisumbua mtu anavyohangaika kutoa pesa akale na hakuna mgahawa unaokuruhusu kula eti useme pesa unaleta baadae.
Na hivyo ndio utakua mwanzo wako wa kuwasujudia kwani hutaeza kuuuza au kununua mpaka waamue wao kwani hakutakua na pepa money.
Hii inaeza kuonekana kama ni technological advancement ila ukweli hilo ni tundu la nyuki linalotengenezwa na waisrael na kijana wao ataejitoleza zama za mwisho(Hizi tulizonazo sasa kutuangamiza)
Wake up israelian are not human


Kwa hivi barter system ndio mfumo wa Ki-mungu? Hivi akina walipewa uwezo na mamlaka ya kuitiisha dunia? Hebu tuonyeshe jinsi binadamu wastahilivyo kuimiliki dunia. Kwa hiyo mfumo wa kipesa wa noti na sarafu ndio ambao hautatuletea Matatizo baadaye?
 
Ha ha ha ha...... Ha ha ha.... Nmecheka sana. Yaaani siku hizi mtu anaweza akalala akamka akaja na dhana ya kipumbavu kabisa. Ya kilevi. Yaan hapo ndo ume conclude kuwa ni mfumo wa kishetani? Kabisa? Hebu tuache masikhara we viroba unapata wapi?wenzio mtaani wanatafuta wamekuwa sober muda mrefu ila wewe bado unakunywa na kuja kutapikia humu ndani. UNANUNUA WAPI VIROBA AU BHANGI? TUAMBIZANE PLEASE.


Hiyo thinking ni bila shaka ina asili yake Ukoo wa Sabato masalia. Kuna watu tulipokuwa bado masomoni hawakupenda kujisomea na hivi kila wakati walifika mahali wakawa wanaombea mitihani hata ya Kitaifa ifutwe halafu badala yake itangazwe tu kuwa wote wamefaulu. Kuna watu hawataki kujibidisha ili kuondokana na umaskini.Wanafikiria umaskini ni tiketi ya kufika Mbinguni. Na kwa sababu wamefundishwa huko na waalimu wao kwamba kila maskini ataionja pepo basi kila wakati wanagonjea dunia ifutike Mara moja ili wakafaidi uhondo Wa Mbinguni. Wanaona wanacheleweshwa tu.Wanaona juhudi zozote za kuiboresha dunia ni kupoteza muda tu. Kila mara wanatafuta kifo na pale ambapo hawaoni dalili za kufa mapema basi wanaanza "kuwavamia" wengine kama ndio watu watakaowavurugia "siku zao za kuishi hapa duniani kwa miaka 1000 pamoja na Kristu"
 
Acha ubaguzi kwanza kauli yako ya kusema waisraeli c watu ni ya kibaguzi.kisha huna ushahidi wowote wa kutoka kitabu chochote cha dini ambao uta support hizo argument zako kuwa mifumo ya emoney ni ya kishetani.
Kwani we misrael?
Kwani waisrael si wabaguzi?
 
Electronic money system kama mobile money transfer,simbanking na nyinginezo ambazo zimegeuza mfumo wa pesa kutoka kwenye makaratasi mpaka kuwa interm of electronic digits ni moja ya mafanikio ya mfumo wa kishetani ambao mastermind wake ni waisrael under Dajjal (Anti-christ).
Kwanini ni mfumo wa kishetani??!
Kama inavyoeleweka katika zama za mwisho za dunia mpinga kristo na wafuasi wake wana nia ya kuicontrol dunia na moja kati ya njia za kucontrol watu ni kucontrol mfumo wa kipesa.
Jinsi gani wanaeza kucontrol mfumo wa pesa?!
Itafika kipindi hakuna mtu ambae atakua na pesa za makaratasi kama tulivyozoea,kila mmoja wetu atakua na pesa zake zimehifadhiwa katika mfumo wa kielectronic yani mfano katika mpx nk na pia katika manunuzi watu wataacha kutumia pesa za makaratasi watu watakua ni mwendo wa kuswap na kutransfer electronically..Nadhani hili linaeza kuthibitika sasa hivi kwani mtu unaeza kufanya mauzo na manunuzi bila kushika pesa physically.
Sasa time yao iyapofika watazima electronic system za eneo watalopenda chukulia mfano network ikisumbua mtu anavyohangaika kutoa pesa akale na hakuna mgahawa unaokuruhusu kula eti useme pesa unaleta baadae.
Na hivyo ndio utakua mwanzo wako wa kuwasujudia kwani hutaeza kuuuza au kununua mpaka waamue wao kwani hakutakua na pepa money.
Hii inaeza kuonekana kama ni technological advancement ila ukweli hilo ni tundu la nyuki linalotengenezwa na waisrael na kijana wao ataejitoleza zama za mwisho(Hizi tulizonazo sasa kutuangamiza)
Wake up israelian are not human
Kama umeligundua hilo.

Kwa nini na wewe usitengeneze mfumo wa kudhibiti Manyanyaso toka Wanaocontrol hizo Electronic money?

Tumechoka na ma uoga yenu yasiyo na Tija.

Wacha tufanye manunuzi online buana[emoji3]
 
Electronic money system kama mobile money transfer,simbanking na nyinginezo ambazo zimegeuza mfumo wa pesa kutoka kwenye makaratasi mpaka kuwa interm of electronic digits ni moja ya mafanikio ya mfumo wa kishetani ambao mastermind wake ni waisrael under Dajjal (Anti-christ).
Kwanini ni mfumo wa kishetani??!
Kama inavyoeleweka katika zama za mwisho za dunia mpinga kristo na wafuasi wake wana nia ya kuicontrol dunia na moja kati ya njia za kucontrol watu ni kucontrol mfumo wa kipesa.
Jinsi gani wanaeza kucontrol mfumo wa pesa?!
Itafika kipindi hakuna mtu ambae atakua na pesa za makaratasi kama tulivyozoea,kila mmoja wetu atakua na pesa zake zimehifadhiwa katika mfumo wa kielectronic yani mfano katika mpx nk na pia katika manunuzi watu wataacha kutumia pesa za makaratasi watu watakua ni mwendo wa kuswap na kutransfer electronically..Nadhani hili linaeza kuthibitika sasa hivi kwani mtu unaeza kufanya mauzo na manunuzi bila kushika pesa physically.
Sasa time yao iyapofika watazima electronic system za eneo watalopenda chukulia mfano network ikisumbua mtu anavyohangaika kutoa pesa akale na hakuna mgahawa unaokuruhusu kula eti useme pesa unaleta baadae.
Na hivyo ndio utakua mwanzo wako wa kuwasujudia kwani hutaeza kuuuza au kununua mpaka waamue wao kwani hakutakua na pepa money.
Hii inaeza kuonekana kama ni technological advancement ila ukweli hilo ni tundu la nyuki linalotengenezwa na waisrael na kijana wao ataejitoleza zama za mwisho(Hizi tulizonazo sasa kutuangamiza)
Wake up israelian are not human
Yaani we ndio kwanza kutumia hiyo mifumo. Ushashikwa na shida sanaa tu na ukasaidiwa kwa tigopesa au mpesa.

Nije kwenye point ya kishetani na Antichrist. Naamini wewe ni muislam, na kama unasoma Qur'an bas ntakayoongea hapa utayaelewa vzuri tu.

Mwenyezi Mungu kwenye Qur'an anamfananisha binaadam asiyefikiri Sawa na mnyama/kinyama cha mwisho kabisa! (Worst of animals). Pia Allah (S.W.) ametuelekeza kwenye Qur'an, whatever you do, do it to your highest.

Ni kwa aya hizo mbili tu, leo umeweza hata kupost humu jf otherwise ungekuwa porini unawinda na ngozi ya mnyama kama Nguo yako.

Kucontrol fedha ni jambo ambalo lilikuwepo tangu kipindi hicho cha Mitume. Economics itasaidia kukujibu vzuri.

Hoja hizo za kishetani zipo, lakini hoja hupingwa na hoja. Sasa we hoja yako ya msingi ni ipi hapo?
 
Electronic money system kama mobile money transfer,simbanking na nyinginezo ambazo zimegeuza mfumo wa pesa kutoka kwenye makaratasi mpaka kuwa interm of electronic digits ni moja ya mafanikio ya mfumo wa kishetani ambao mastermind wake ni waisrael under Dajjal (Anti-christ).
Kwanini ni mfumo wa kishetani??!
Kama inavyoeleweka katika zama za mwisho za dunia mpinga kristo na wafuasi wake wana nia ya kuicontrol dunia na moja kati ya njia za kucontrol watu ni kucontrol mfumo wa kipesa.
Jinsi gani wanaeza kucontrol mfumo wa pesa?!
Itafika kipindi hakuna mtu ambae atakua na pesa za makaratasi kama tulivyozoea,kila mmoja wetu atakua na pesa zake zimehifadhiwa katika mfumo wa kielectronic yani mfano katika mpx nk na pia katika manunuzi watu wataacha kutumia pesa za makaratasi watu watakua ni mwendo wa kuswap na kutransfer electronically..Nadhani hili linaeza kuthibitika sasa hivi kwani mtu unaeza kufanya mauzo na manunuzi bila kushika pesa physically.
Sasa time yao iyapofika watazima electronic system za eneo watalopenda chukulia mfano network ikisumbua mtu anavyohangaika kutoa pesa akale na hakuna mgahawa unaokuruhusu kula eti useme pesa unaleta baadae.
Na hivyo ndio utakua mwanzo wako wa kuwasujudia kwani hutaeza kuuuza au kununua mpaka waamue wao kwani hakutakua na pepa money.
Hii inaeza kuonekana kama ni technological advancement ila ukweli hilo ni tundu la nyuki linalotengenezwa na waisrael na kijana wao ataejitoleza zama za mwisho(Hizi tulizonazo sasa kutuangamiza)
Wake up israelian are not human
Pole sana kwa kua na mawazo ya kimaskin ivo
 
Pesa ya makaratasi tangu uifahamu hujui hasa maana yake, hujui ni kwanini pesa ya taifa changa kama Sudan Kusini thamani yake inakrubia kabisa na dora ya kimarekani vipi utaweza kufahamu emoney? Acha kuazima akili za pastor wako, tumia zako!
 
Jamani nyinyi ndio mnaomsujudia shetani kwa kuhisi kila kitu kinafanywa kwa mpango was shetani kwani Mungu hawezi??
 
Back
Top Bottom