Habar wakuu: cm yangu ni Tecno P-5 inashidwa instal apps, inaanza kwa kudownload kisha kuinstal ktk cm inakataa kama picha inavyoonesha, cjui tatizo ni nn? Wenye ujuz mnijuze pls;
Salaamu zenu wakuu, nimekuwa na ugonnjwa wa kutokwa na viupele sehemu za siri harafu baada ya kupona vinatokea vidonda mdomon na hupelekea kupata hadi homa, na hujitokeza mara moja kwa kila mwezi ss nashidwa kujua ni ugonjwa ngani na nn tiba yake msaanda jaman maana huwa yananisumbua sana ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.