Recent content by Lussadam

  1. Lussadam

    Haya maneno yanayosambaa kuhusu Group O+ yana ukweli au ni tabia ya mtu ?

    Basi idadi kubwa ya watu duniani ndo wana tabia hizo,sababu duniani zaidi ya 30%ya watu duniani ni O+
  2. Lussadam

    Tetesi: Marekani kuivamia Venezuela

    Cuba njaa kali sana
  3. Lussadam

    Mwamba Osama Bin Laden kwa sasa atakuwa anaishi wapi? Baada ya Marekani kutudanganya

    Wahi Mirembe kabla haujaingia Wahi Mirembe kabla haujaingia stage ya kuvua boksa
  4. Lussadam

    Inasikitisha! Mmoja wa viongozi wa vyuo vikuu vyetu nchini anavuta bangi

    Mvuta bangi maarufu ndugu Bob Marley ni maarufu kuliko waTanzania wote. Mvuta bangi mwingine maarufu ni Barack Obama
  5. Lussadam

    Naombeni kwa watu wanaojua sheria mnisaidie kwa hili kuna familia inazurumika

    Mali huwa ni za mke na mume,siyo za watoto. Mume alipofariki mali ikawa ya mke. Na alipoolewa mali ikawa ya mke na mme mpya. Mke alipofariki, mali inabaki kuwa ya mume. Kuhusu mama kuandika jina la mwanaye kwenye nyumba, inawezekana alikuwa sahihi sababu baada ya mmewe wa kwanza kufariki mali...
  6. Lussadam

    Silaha mpya ya nyuklia ya Marekani yaleta tishio zaidi kwa ustaarabu wa binadamu

    ALICHUKUA UBINGWA LINI? BAADA YA KURUHA UMBALI GANI??
  7. Lussadam

    Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

    MWITE FUNDI AJE AMWAGE HIYO OIL HAPO HOME NA ASAHIHSHE MAKOSA
  8. Lussadam

    Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    MANZESE,VINGUNGUTI,BUGURUNI etc
  9. Lussadam

    Polepole adai yuko Morogoro, apigilia msumari kauli zake

    Cuba ni hoehae mjomba, mshahara wa daktari Cuba ni $40 (Arobaini) kwa mwezi
Back
Top Bottom