Mali huwa ni za mke na mume,siyo za watoto. Mume alipofariki mali ikawa ya mke. Na alipoolewa mali ikawa ya mke na mme mpya. Mke alipofariki, mali inabaki kuwa ya mume.
Kuhusu mama kuandika jina la mwanaye kwenye nyumba, inawezekana alikuwa sahihi sababu baada ya mmewe wa kwanza kufariki mali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.