SASA ANAYEPASWA KUKANUSHA KUWA HII SI KWELI NI HAO WALIOTAJWA AU WEWE???
NAFIKIRI TUNAPASWA KUAMINI ALICHOANDIKA MPAKA PALE TAMIM BIN HAMAD AL THAN, MOHAMMED BIN SALMAN AL SOUD NA MOHAMED BIN ZAYED AL NAHYAN WATAKAPOSEMA SI KWELI
Mwanaume alikuwa Uingereza kwa hisani ya mkewe. Baada ya mke kupata visa, akamuombea mme Dependent Visa. Mwanaume kwa aina ya hii ya visa hawezi leta mtu Uingereza
MZEE UMESHINDWA KUMUELEWA. AMESEMA HIVYO BAADA YA SERIKALI KUAMUA KUWA ELIMU YA MSINGI NI KUANZIA DARASA LA KWANZA MPAKA KIDATO CHA NNE. HIVYO KWA SASA KIDATO CHA NNE NI ELIMU YA MSINGI
Mali huwa ni za mke na mume,siyo za watoto. Mume alipofariki mali ikawa ya mke. Na alipoolewa mali ikawa ya mke na mme mpya. Mke alipofariki, mali inabaki kuwa ya mume.
Kuhusu mama kuandika jina la mwanaye kwenye nyumba, inawezekana alikuwa sahihi sababu baada ya mmewe wa kwanza kufariki mali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.