Recent content by lusekeloe

  1. lusekeloe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuoa huyu mwanamke! Kununua, kususa na ujeuri juu

    Njoo nikubembeleze
  2. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Dar kama hujaja siku nyingi siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu

    Nimepita hapo patamu sana
  3. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania TBS chunguzeni ubora wa remote control za ving'amuzi vya Azam TV

    Inawezekana kabisa mimi natumia
  4. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa Shoti ya Umeme. Nilichokiona Sitaki ufundi tena

    Tv ya chogo haimalizi umeme unapoizima
  5. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa Shoti ya Umeme. Nilichokiona Sitaki ufundi tena

    Kweli asee ila umeme wa viwandani ni R. I. P fasta
  6. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

    Unatafta kishandu akuwaishe location
  7. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Basi kubwa na pikipiki vikitembea vyote kwa 120km/hr nani atatangulia?

    Tofauti itakua kwenye RPM tu ila speed Ni sawa R PM ya basi ili kufikia speed Flan itakua ndogo kuliko RPM ya boda ili kufikia speed flan
  8. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Uhalisia wa maisha tunayopitia Afrika Kusini

    Hilo la wanawake kuvuta bangi na sigara nikweli kabisa 100%
  9. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

    Wale ni professionals wanalipwa kwa kazi hiyo[emoji119][emoji119]
  10. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kwa anayetumia majiko haya ya induction je yanafaa kwa uchumi wa kitanzania

    Consumption yake ya kawaida sana japo mi natumia model ya zamani kidogo hizi za sasa sijajua maana zinaboreshwa zaidi. Pia ni jiko salama kabisa hata uliacha on linajizima na haliunguzi kitu chochote ukiweka juu tofauti na sufuria yake
  11. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kwa anayetumia majiko haya ya induction je yanafaa kwa uchumi wa kitanzania

    Sio mpya ni technology ya muda sema kwa sasa yamekua common, mi nnalo zaidi ya miaka 10 natumia
  12. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kwa anayetumia majiko haya ya induction je yanafaa kwa uchumi wa kitanzania

    Tofauti na majiko mengine ni kwamba haya yanapika kwa process ya magnetic induction inayozalisha eddy currents ambayo effect yake ni kupasha sufurua ya chuma moto na sio heating coil ambayo inatumika kwenye majiko mengine
  13. lusekeloe

    JamiiForums Tanzania Nataka nirudi kwenye simu za button

    Chukua nokia 3310 kitochi kipo simple net kinaingia na iko sharp sio sawa na azumi bajet 120K
Back
Top Bottom