Inayo mudu kukidhi mahitaji yako madogo madogo tufanye hukosi laki 5 kila mwezi iyo inatosha kabisa.Kama sh. Ngapi
Umefaidikaje ?? Nimewiwa kufahamumechelewa kufanya mamuzi,matajiri wote tuko kwenye vitochi muda sana
Ndiyo wengi wetu iko hivo ila ukiweza pata laki 5 panda juu maisha unayamudu ikiwa sio mtu wa stareheMungu ni mwema naamini nitapata tu kazi kwa ajili ya kumudu basic needs .. maana dah Hali ya kiuchumi kwangu ni changamoto since I graduated
niliamua tuh,bada ya kuona kazi zangu hazihitaji simu kubwa bali desktop computer,nikaamua kuwa na kitochi ni rahisi ukiwa ni mtu wa mamuziUmefaidikaje ?? Nimewiwa kufaham
Tafuta kazi uajiriwe usikubali kufanya ukichaa mwingine utachizika, kazi yenye huo mshahara.Nimekusoma
Chukua nokia 3310 kitochi kipo simple net kinaingia na iko sharp sio sawa na azumi bajet 120KKutokana na simu yangu Sasa kuzingua technically nataka nirudi kwenye vitochi mpaka uchumi wangu utakavyoamua vinginevyo. mnanishaurije ipi button nzuri ambayo inauwezo wa internet ya kuchungulia jf mara Moja Moja?![]()
Naambiwa ki smart 4g na kenyewe sio mbaya Japo siijuimpaka naandika ivi niko natumia tekno t520,facebook kama kawaida ila naingia kwakutumia operamini,mb400 zinanifikisha zaid ya wiki chaji inakaa fresh,kwenye tach tuliona ni uhalibifu wa hela.nimeweka power saver ni mwendo wa kujilusha tu