WaHabari wana JF.
Asubuhi ya leo nilikuwa nikisoma Post inayosema serikali haijamuapisha mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Migombani huko Segerea. Nilishangazwa sana na comments zilizotolewa na mtu mmoja anaitwa MUSSA ALLAN. Kijana huyu, Faiza Foxy na wengineo walioko humu JF wanamkosea sana...
Huwa siipendi CCM na wala sina muda wa kusikiliza ujinga wao lakini niseme tu mtangazaji wa TBC alikua yuko sahihi kumtambulisha Kikwete maana si wote wanaoangalia TBC ni watanzania na si wote wanamjua Kikwete, kwa hiyo ilikua ni sawa kumtambulisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.