TBC mmeniacha hoi kama sio kunishangaza!

TBC mmeniacha hoi kama sio kunishangaza!

kijiichake

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2010
Posts
284
Reaction score
58
Leo wakati kikwete anaongea na wazee wa ccm mkoa wadodoma amezungumzia mengi na kwa muda mrefu, ila kilichonishangaza na kunichekesha ni pale kikwete alipomaliza kuhutubia, akaitwa balozi wa miaka tisatisatisa lusinde ambae pia ni Mwenyekiti wa wazee vilaza hao wa Dodoma, ndipo TBC ikahamisha matangazo yake gafla na kuanza kutoa maelezo ya mile kilikuwa kikiendelea pale, mtangazaji mwanamama akasema basi mpendwa mtazamaji Hugo aliyemaliza kuongea na kuhutubia Hapo ni dokta jakaya kikwete ambae pia niraisi wa jamuhuri ya watu watanzania, duh imenibidi nicheke Kwa sababu kuna maswali mawili yamenijia akilini mwangu kujiuliza yaani nani hamjui kikwete na wadhifa wake katika nchi hii? La pili watanzania wanawezaje kukaa na kumtizama kikwete na ngonjera zake kama hawajui yeye ni msanii? Tatu ilikuwa na maana gani Kwa mtangazaji huyo kumtambulisha kikwete Kwa watazamaji kana kwamba ndo mgeni? TBC sijui inafikiri hatumjui wala hatuja wahi kumjua au kumwona kikwete hivyo ikabidi watupe maelezo kutokana na yeye kuwa kiguu na njia nche ya nchi? Hay a Sasa kikwete karibu tz nchi yako ya ugenini.
 
Huwa siipendi CCM na wala sina muda wa kusikiliza ujinga wao lakini niseme tu mtangazaji wa TBC alikua yuko sahihi kumtambulisha Kikwete maana si wote wanaoangalia TBC ni watanzania na si wote wanamjua Kikwete, kwa hiyo ilikua ni sawa kumtambulisha.
 
Unajiuliza waTanzania Wanawezaje kukaa kumuangalia JK. Unachojiuliza ni nini wakati Maelezo yako yanaonyesha ulimuangalia alipohutubia?? Huu ni ufisadi sawa na ufisadi mwingine.
 
leo wakati kikwete anaongea na wazee wa ccm mkoa wadodoma amezungumzia mengi na kwa muda mrefu, ila kilichonishangaza na kunichekesha ni pale kikwete alipomaliza kuhutubia, akaitwa balozi wa miaka tisatisatisa lusinde ambae pia ni mwenyekiti wa wazee vilaza hao wa dodoma, ndipo tbc ikahamisha matangazo yake gafla na kuanza kutoa maelezo ya mile kilikuwa kikiendelea pale, mtangazaji mwanamama akasema basi mpendwa mtazamaji hugo aliyemaliza kuongea na kuhutubia hapo ni dokta jakaya kikwete ambae pia niraisi wa jamuhuri ya watu watanzania, duh imenibidi nicheke kwa sababu kuna maswali mawili yamenijia akilini mwangu kujiuliza yaani nani hamjui kikwete na wadhifa wake katika nchi hii? La pili watanzania wanawezaje kukaa na kumtizama kikwete na ngonjera zake kama hawajui yeye ni msanii? Tatu ilikuwa na maana gani kwa mtangazaji huyo kumtambulisha kikwete kwa watazamaji kana kwamba ndo mgeni? Tbc sijui inafikiri hatumjui wala hatuja wahi kumjua au kumwona kikwete hivyo ikabidi watupe maelezo kutokana na yeye kuwa kiguu na njia nche ya nchi? Hay a sasa kikwete karibu tz nchi yako ya ugenini.

kaongeze elimu yako halafu ndio urudi tena hapa,kuna kosa gani hapo??!!
 
Leo wakati kikwete anaongea na wazee wa ccm mkoa wadodoma amezungumzia mengi na kwa muda mrefu, ila kilichonishangaza na kunichekesha ni pale kikwete alipomaliza kuhutubia, akaitwa balozi wa miaka tisatisatisa lusinde ambae pia ni Mwenyekiti wa wazee vilaza hao wa Dodoma, ndipo TBC ikahamisha matangazo yake gafla na kuanza kutoa maelezo ya mile kilikuwa kikiendelea pale, mtangazaji mwanamama akasema basi mpendwa mtazamaji Hugo aliyemaliza kuongea na kuhutubia Hapo ni dokta jakaya kikwete ambae pia niraisi wa jamuhuri ya watu watanzania, duh imenibidi nicheke Kwa sababu kuna maswali mawili yamenijia akilini mwangu kujiuliza yaani nani hamjui kikwete na wadhifa wake katika nchi hii? La pili watanzania wanawezaje kukaa na kumtizama kikwete na ngonjera zake kama hawajui yeye ni msanii? Tatu ilikuwa na maana gani Kwa mtangazaji huyo kumtambulisha kikwete Kwa watazamaji kana kwamba ndo mgeni? TBC sijui inafikiri hatumjui wala hatuja wahi kumjua au kumwona kikwete hivyo ikabidi watupe maelezo kutokana na yeye kuwa kiguu na njia nche ya nchi? Hay a Sasa kikwete karibu tz nchi yako ya ugenini.




Ukuelewa kwa nini alifanya vile? Yeye mwana dada alitumia busara kwa sababu Kikwete kama rais hakai hapa Tanzania na pengine yule mdada alijuwa kuwa watanzania wengi hawamjui Kikwete kwa sababu ni kweli hakai hapa nchini na kutatua matatizo ya nchi. Yeye badala ya kukabiliana na matatizo ya hapa anamwachia kilaza Pinda ili aje kwenye TV aanze kulia. nani anataka kumwona Pinda analia kwenye TV wakati watu tuna njaa? Mdada hakukosea ila alikuwa anawatambulisha watanzania rais wao mtoro wa majukumu ya nchi. Keshokutwa anakwenda kuvinjari Marekani kwa siku 20 kwa safari zake binafsi, sasa ni rais huyu kweli au mtalii? Na anakwenda kwa pesa za wauza madafu.
 
Hasa lipi lilokufanya upost hapo sion nin kimekushangaza kama watanzania hawamsikilizi wala kumtazama Rais wewe ni mrundi? mbona ulimtazama na uelewa wako TBC inaishia Tanzania tu? wachen mambo ya kufuata upepo
 
Bora niangalie mizengwe kuliko kumuangalia huyu prof wa kichina...
 
Leo wakati kikwete anaongea na wazee wa ccm mkoa wadodoma amezungumzia mengi na kwa muda mrefu, ila kilichonishangaza na kunichekesha ni pale kikwete alipomaliza kuhutubia, akaitwa balozi wa miaka tisatisatisa lusinde ambae pia ni Mwenyekiti wa wazee vilaza hao wa Dodoma, ndipo TBC ikahamisha matangazo yake gafla na kuanza kutoa maelezo ya mile kilikuwa kikiendelea pale, mtangazaji mwanamama akasema basi mpendwa mtazamaji Hugo aliyemaliza kuongea na kuhutubia Hapo ni dokta jakaya kikwete ambae pia niraisi wa jamuhuri ya watu watanzania, duh imenibidi nicheke Kwa sababu kuna maswali mawili yamenijia akilini mwangu kujiuliza yaani nani hamjui kikwete na wadhifa wake katika nchi hii? La pili watanzania wanawezaje kukaa na kumtizama kikwete na ngonjera zake kama hawajui yeye ni msanii? Tatu ilikuwa na maana gani Kwa mtangazaji huyo kumtambulisha kikwete Kwa watazamaji kana kwamba ndo mgeni? TBC sijui inafikiri hatumjui wala hatuja wahi kumjua au kumwona kikwete hivyo ikabidi watupe maelezo kutokana na yeye kuwa kiguu na njia nche ya nchi? Hay a Sasa kikwete karibu tz nchi yako ya ugenini.

yaan we kijiichake kujipinda kote ndo umetuletea hii...?
 
Last edited by a moderator:
kweli aisee maneno au vidole ingekuwa risasi duniani ingebaki milima tuu...always Kikwete,ukimwatumbo Kikwete,mtaro ukiziba Kikwete,wezi wakiiba kuku Kikwete,vijana wakivaa milegezo Kikwete duuhh..haya
 
Mmmh! Mi sijaelewa kabisaaa! Yaani mwanzo wa hoja hadi mwisho wake kwangu ni vumbiiii!
 
Leo wakati kikwete anaongea na wazee wa ccm mkoa wadodoma amezungumzia mengi na kwa muda mrefu, ila kilichonishangaza na kunichekesha ni pale kikwete alipomaliza kuhutubia, akaitwa balozi wa miaka tisatisatisa lusinde ambae pia ni Mwenyekiti wa wazee vilaza hao wa Dodoma, ndipo TBC ikahamisha matangazo yake gafla na kuanza kutoa maelezo ya mile kilikuwa kikiendelea pale, mtangazaji mwanamama akasema basi mpendwa mtazamaji Hugo aliyemaliza kuongea na kuhutubia Hapo ni dokta jakaya kikwete ambae pia niraisi wa jamuhuri ya watu watanzania, duh imenibidi nicheke Kwa sababu kuna maswali mawili yamenijia akilini mwangu kujiuliza yaani nani hamjui kikwete na wadhifa wake katika nchi hii? La pili watanzania wanawezaje kukaa na kumtizama kikwete na ngonjera zake kama hawajui yeye ni msanii? Tatu ilikuwa na maana gani Kwa mtangazaji huyo kumtambulisha kikwete Kwa watazamaji kana kwamba ndo mgeni? TBC sijui inafikiri hatumjui wala hatuja wahi kumjua au kumwona kikwete hivyo ikabidi watupe maelezo kutokana na yeye kuwa kiguu na njia nche ya nchi? Hay a Sasa kikwete karibu tz nchi yako ya ugenini.

TBC inarusha matangazo yake nje ya Tanzania na watu wote wanamjua Rais wa Tanzania.
 
Hajajahajaaaaa…
Daa naikumbuka hii, but huwa nikiiona next and next huwa nacheka sanaaaa lol!


Kivipi mkuu. Yaani unacheka kuona junsi Pinda anavyolia au vile anavyo tusanifu kwa usanii wake wa nusu saa?
 
Huwa siipendi CCM na wala sina muda wa kusikiliza ujinga wao lakini niseme tu mtangazaji wa TBC alikua yuko sahihi kumtambulisha Kikwete maana si wote wanaoangalia TBC ni watanzania na si wote wanamjua Kikwete, kwa hiyo ilikua ni sawa kumtambulisha.
isitoshe tbc inatazamwa duniani kote je watu wote wa nje wanamjua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom