Recent content by lusajo1992

  1. L

    DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

    Mkuu unajua mnaongelea haya mambo embu muwe basi mnajua hata mnaongelea nini? namna mnavyotetea mnaonekana kabisa hamjui nini mnaelewa mfano wa makosa nayoona wengi mnayafanya ni kuita geti badala ya gati ........... hapo tuu inaonekana kabisa wazungumzaji wengi hawajui bandari hata kidogo hata...
  2. L

    Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

    DUUH HUYO JAMAA HATARI MZEE LABADA KAMA CHA ARUSHA KIMEMZIDI ILA KWA WAKATI ULE JAMA ALIKUWA UNBEATEN
  3. L

    SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

    AISE HAPA HUDUMA KWA WATEJA IKO SAWA PENDA HILO JIBU
  4. L

    Ontario kamalizwa kishamba mno!

    TANZANIA sasa naona tunaaanza kukuaa kifikra , kiukweli watu huwa wanata mtu awe na upande mmoja mzuri wanao ujua wanasahau kwamba kama hizi nyuma tunazo kila mmoja wetu lakini still tunajitahidi kufanya mazuri. bro nimekupenda bure upo positive naamini kama jamaa anaelewa basi ataacha kufanya...
  5. L

    Msaada kulipiwa mafunzo ya TMT, yatayofanyika Dar es salaam tareh 23/10/2017-27/10/2017

    ni waajabu kila dakika BRO naamini baada ya kubezwa na kukatishwa tamaa kuna kiti utakaa, embu sasa tuambie DAR ES SALAA, LINI TENA MAANA WENGINE KUTOKANA NA MAJUKUMU YA HAPA NA PALE TUMEKOSA EMBU TUPE TAREHE MAPEMA ILI TUWEZE KUJUA MAPEMA NA TUPANGE RATIBA MAPEMA. SALUTE BOSS
  6. L

    Machache kuhusu filamu za ngono Marekani

    atleast kumekuwa na mtu aliyejaa ujasiri kuzungumza haya wazi. hakutakuwa na ambaye atajitetea baada ya ujumbe huu naona umetosha kabisa mwenye fikra ya pili kubadili mara moja , siku zote kumbuka sio wewe unaifaidi porn bali porn inakufaidi wewe.
  7. L

    TEGETA, DAR: Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Vicent Mritaba apigwa risasi 5 na majambazi

    hahaha aise nimeongeza siku hapa maana lipo la kujifunza pia
  8. L

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    kama nilivyokwisha kusema awali mimi natamani niwe sehemu ya hiyo 65000, japo sijui kama nitawahi maana kwa wiki hizi kadhaa nitakuwa mahali ila nafasi ya hiyo naomba uniwekee asante kwa ushirikiano your doing amazing Bro .
  9. L

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    woow Bro upo nondo kwa kweli kila wakati nimekuwa najifunza na sijawahi kuchoka , kusoma chochote unachoandika . Aise kwa miaka mingi sana nilikuwa nikiamini Tanzania yangu haina watu wazalendo lakini sio tuu wazalendo bali wako tayari kusifia na kukubali jambo la mtu mwengine. mimi niseme tuu...
  10. L

    Picha za jeneza za Ivan ila.....

    xXx: State of the Union
  11. L

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    hakika wewe ni gentlemen na ndio uungwana kukubali kama ulikosea naamini halitajirudia tuvumiliane na tuonyane kwa lugha nzuri.
Back
Top Bottom