Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

Mkuu njoo na fact wachana na hizi porojo. Ukubwa wa kabila ni idadi yao na sio wako mikoa mingapi. Tafuta data za sensa toka NBS itatusaidia kujibu hili kwa usahihi zaidi.
wachaga ni kabila kubwa? au ukubwa unauongelea ni kwa vigezo gani? wachaga hawana hata wilaya zaidi ya 3? hata wanyakyusa, wahehe na wangoni siyo wengi hivyo. labda useme makabila yenye ukabila. ukiniambia wasukuma ni wengi haina ubishi, hawa wamejaza mikoa kadhaa. sasa kabila halijajaza hata mkoa moja eti kabila kubwa? labda uzungumzie umaarufu ktk elimu, biashara na ukabila
 
Mkuu njoo na fact wachana na hizi porojo. Ukubwa wa kabila ni idadi yao na sio wako mikoa mingapi. Tafuta data za sensa toka NBS itatusaidia kujibu hili kwa usahihi zaidi.
we si utaje hizo idadi ulizotoa NBS? wachaga siyo wengi kuliko hata wamaasai. Tatizo alilozungumzia Nyerere ni ukabila.
 
Hivi kwa akili yao hawa unafikiria nchi hii Msukuma asiwe kwenye uongozi wakati amepiga shule vizuri na mchapakazi! Karibia robo ya watanzania wananasaba ya usukuma na unyamwezi unaweza kuwaepuka vipi?



Pengine tumjuze hata Kibatala, Mama yake ni Msukuma same as kwa Mnyika upande mmoja wapo wa Wazazi wake.
 
Mkuu njoo na fact wachana na hizi porojo. Ukubwa wa kabila ni idadi yao na sio wako mikoa mingapi. Tafuta data za sensa toka NBS itatusaidia kujibu hili kwa usahihi zaidi.
Umemfanya akaimbie jamvi
 
Wala inakuwa haina hasara kama kabila hilo ni dhaifu katika uelewa (hawana shule) wasukuma hawana kitisho chochote maana wao na shule ni maji na mafuta hata walioenda shule wameshindwa kubadilika!!! Tena kabila dogo linaweza kuwa na impact kubwa endapo lina ellites wa kutosha,,,,Makabila makubwa yaliyomtisha Nyerere ni Wahaya na Wachaga alijua moto wao kama wangeshika nchi maana wamekamilika kila Idara.Wasukuma,wamasai nk ni dhaifu sana pamoja na wingi wao

Mlio na vi degree vya hapa na pale mna mbwembwe sana.
 
Nyerere has gone with his views, we better focus on howa we can bring back the electricity and sufficient clean and safe water.Don't try to pull off the comprehensive agenda. Water and Electricity
 
Huyo hayati mwenyewe hata sio msukuma na wala baba yake halisi sio Joseph Pombe

Baba yake alimsusa toka akiwa tumboni kwa sababu ya uchawi wa mama yake ndio maana alikuwa anabehave namna ile


Kwani mimi ndio nilileta tetemeko bukoba
 
Back
Top Bottom