Recent content by Luny

  1. L

    Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

    Vipimo vya joto vionesha Mimi tu ndo nina joto kali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. L

    Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

    Dah!! Mbona imekuwa nogwa kwa mama mapema hivi ya kuwazia uchaguzi 2025 tumpe nafasi mama afanye kazi,vvinginevyo ni uroho wa madaraka na mnakatisha tamaa ya kufanya kazi, tumuunge mkono sehemu ya kukosoa tukosoe kwa adabu, akifanya vizuri tumsifie huyu ndio rais wetu Sent from my Nokia 2 using...
  3. L

    Hongera Lukuvi, kazi yako tumeiona

    Tunamuandaa aongoze Ile nyumba iliyoachwa na Job
  4. L

    Tanzania kinara wa Utalii Afrika 2022

    Huyu Rais nampenda Sana, kila siku namuombea maisha mrefu Mungu amulinde, kazi anafanya vizuri Sana na Tanzania inapaa Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
  5. L

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

    Hawa waliotenda hili kama kweli wametenda nawaza tu, siku moja hapo Askari wapate safari kwenda kijiji anachofanyia kazi bahati mbaya labda wapate ajali na wapelekwe kwenye kituo cha afya cha huyu daktari na awe ndio yuko zamu anayetakiwa asimamie matibabu ya dharula kwa hawa ndg zetu Askari...
  6. L

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

    Kama ni mods ndio mmebadili heading/title tafadhali rudisheni Ile ya msaada msaada,
  7. L

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

    Dah!!! Haki itendeke na ioneshe kama imetendeka, nimeumia sana, nilisha wahi kupata dhahama ya ajali ya mgogo najua unachosema dokta hapo tayari umepata kilema cha mgogo, Mungu akupiganie upate haki yako
  8. L

    Nampenda lakini sina maisha

    Sorry dogo kwa nitakalo ongea huenda halitakufurahisha lakini linaukweli ndani yake, Kwanza siku hizi kupata mke unayeona anafaa kuwa mke ni bahati Sana hivyo kuachia huyu binti kizembe kizembe unaweza ukajuta huko mbeleni pamoja na kukaa vizuri unakofikiria kiuchumi ambalo ni dhana fikirika...
  9. L

    IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

    Katika marais ambao wanafanya vzr samia yuko vizuri Sana, Mungu amulinde rais wetu
  10. L

    Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

    Ongezea anafanya kazi na walikosa matumaini(wagonjwa)wanaopambania maisha yao wamejaa huzuni (note) huzuni inaambukizwa kweli idara afya walitakiwa waongezewe maslahi.
  11. L

    Kisa kazi, mchumba wangu amenisaliti

    Dogo sikia mwanamke moyo wake tunahitaji baunza pembeni yake, hivyo ww kkuwa mbali ilikuwa sababu, huyu Bibi usimwache kaa anayee umtengeneze utakuwa mke bomba, mke akiwa vacuum lazima hilo lijamaa lilitumia hiyo chance
  12. L

    Ujasiri wa kusimama mbele za watu wengi

    Fanya mazoezi mbele ya kioo cha kuvalia (dressing table) mbinu hii ilinisaidia wakati nnikiwa chuo mihadhara Ile watu zaidi ya miamoja nilipiga tizi kama vile naongea na watu, huku nikichagua maneno mazuri yanayoendana na mkutadha husika nilifaniwa sana sana, Fanya hivo kiongozi utanishukru
  13. L

    Zifahamu siri za maisha

    Umenena vyema Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
  14. L

    Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

    Hawa jamaa wanafanana na story moja ambayo mtu mmoja aliweka tangazo kwenye TV iliyokuwa inaangaliwa na watu wengi, tangazo hilo lilieleza kuwa ukiweka dollar moja kwenye account yake na ukaweka na email yako atakuelezea siri ya utajiri. Kwa sababu watu waliona dollar moja ni ndogo waliweka...
Back
Top Bottom