Ujasiri wa kusimama mbele za watu wengi

Oct 4, 2021
8
7
Msaada mwenzenu yamenikuta nina sherehe yangu ya ndoa hivi karibuni,

Sasa basi kila nikifikiria kwenda kusimama mbele za watu na kuongea yaani katika kutambulisha uwiiinahisi jasho jembamba linanitoka, unaweza kushangaa la mbele unarudisha nyuma, na la nyuma unapeleka mbele...plz msaada jamani kwa waliopitia walifanyaje?

Au walitumia nini katika kuondoa hofu
 
Msaada mwenzenu yamenikuta nina sherehe yangu ya ndoa hivi karibuni, sasa basi kila nikifikiria kwenda kusimama mbele za watu na kuongea yani katika kutambulisha uwiiinais jasho jembamba linanitoka, unaweza kushangaa la mbele unarudisha nyuma, na lanyuma unapeleka mbela...plz msaada jamani kwa waliopitia walifanyaje?

Au walitumia nini katika kuondoa hofu
Hapo utakapisimamishwa kutoa utambulisho, utakuwa na mke wako. Hakikisha mmeshikana, ili akupe utulivu, na ujisikie na amani. Ndio sababu ya kuwa na mwenza!
 
Kama mimi vile mjanja Kwenye keyboard niliumbuka siku ya kujitambulisha kwenye mkutano mmoja huko nchi za wenzetu maana huku tz nilikwepakwepa kutambulishwa kuanzia pale nilipoumbuka saizi nikienda kwenye kusanyiko lazima niibust akili kidogo na kileo
Me mwenzio nashonaga maneno yaani naweza ongea kiswahili na usinielewe ukajua kimezungumzwa kichina
 
Kama mimi vile mjanja Kwenye keyboard niliumbuka siku ya kujitambulisha kwenye mkutano mmoja huko nchi za wenzetu maana huku tz nilikwepakwepa kutambulishwa kuanzia pale nilipoumbuka saizi nikienda kwenye kusanyiko lazima niibust akili kidogo na kileo
 
Mpange rafiki ako mmojawapo unaejua ni muongeaji vizuri anaejua kupangilia maneno ya kiutu uzima (sio mlopokagi) hapo utakua umemaliza mchezo.


Lastly! Hongera kwa kuuaga u bachela, kila la kheri kwenye maisha yenu ya ndoa..
 
Piga konyagi
Msaada mwenzenu yamenikuta nina sherehe yangu ya ndoa hivi karibuni,

Sasa basi kila nikifikiria kwenda kusimama mbele za watu na kuongea yaani katika kutambulisha uwiiinahisi jasho jembamba linanitoka, unaweza kushangaa la mbele unarudisha nyuma, na la nyuma unapeleka mbele...plz msaada jamani kwa waliopitia walifanyaje?

Au walitumia nini katika kuondoa hofu
 
Hata mimi ni muoga sana kusimama na kuanza kuongea mbele za watu ila nikinywa bia tano(serengeti lite za baridi)huwa napata ujasiri wenye heshima na kupangilia maneno vizuri mno
 
Fanya mazoezi mbele ya kioo cha kuvalia (dressing table) mbinu hii ilinisaidia wakati nnikiwa chuo mihadhara Ile watu zaidi ya miamoja nilipiga tizi kama vile naongea na watu, huku nikichagua maneno mazuri yanayoendana na mkutadha husika nilifaniwa sana sana, Fanya hivo kiongozi utanishukru
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom