Mnh...Kaka kuna namna ya kupinga kupata ukweli ila we hupingi tu bali UNAPAMBANA!! Wanaosema una chuki binafsi wanaweza kuwa na hoja.
Maana taarifa ni UPLIFTING hata kama ni uongo, not such a big deal UPAMBANE kiasi hicho hadi kumtukana huyo AY!!
Labda AY alifanya deal ya unga akapata hizo...
Speaking of rastas....kuna rasta mmoja alikua akiitwa "peter mzungu". Huyu aliishi opposite na MDC spmarket kwenye zile nyumba za national housing.
Huyu rasta alikua akitumia baiskeli yenye nakshi nyingi na baby wake vile vile alikuwa rasta! Enzi zile kapo yao ilipendeza sana nadhani wengi...
Opposite na benki ya mawenzi kulikua na kaduka ka mhindi anauza juice ya kutengenezea nyumbani. Mnamkumbuka? Nadhani jina lake 'bandia'. Alikuwa anavaa KAPTULA tu. Juisi chupa ndogo fupi. Juisi sijui zina spices gani zile za kihindi hindi ila tam sana. Hivi mzee bandia kuna aliemuona sk za...
Kambaita hakuwa na mtoto wa kiume. Alikua na mtoto mmoja tu wa kike alieolewa canada.
Kama kaondoka atakua kaona keshakua mzee na hana msaidizi wa familia.
Na yule nyumbani ni canada si india
Yule mhindi alikuwa akiitwa solanki au suresh kama sikosei.
Na kile kigari chake cheupe bado kipo moshi.
Mara ya mwisho kigari nilikiona kwenye ule mtaa wa pili kabla ya kufika shule ya msingi mwenge ukitokea njia ya soko la juu!
Uzi niliuwahi kabla nika miss katikati ila umeenda vzr.
Mkuu jmushi1 una kumbukumbu nzuri sana na moshi unaijua. Of course na wadau wengine mmetisha kwa memories.
Hivi John Jeep siku hizi yupo wapi? Hivi yule si alikiwa shombe wa kigiriki au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.