1 De Gea (yupo vizuri sana now),2 rafael (da huyu huna sinaga tatizo naye kabisa van gaal alitaka kufanya kosa kwa kumuuza),3 Luke show,anaifahamu vizuri man city so kule tumeziba,4 Phil Jones huyo aguero wenu nadhani mtamsikia tu,5 Rojo Eden zeko atakuwa beki kwetu,6 Fundi kipofu aka Blind,aina...