Recent content by lumimwandelile

  1. L

    JamiiForums Tanzania Nilifanya mapenzi kinyume na maumbule 2016, mwaka huu imemfanya mchumba wangu kuniacha kabla ya ndoa!

    mwelevu hujifunza kutokana na makosa ya wengine. mjinga hujifunza kutokana na makosa yake mwenyewe. akili zako umeshikiwa na jirani. jifunze kutumia akili zako mwenyewe
  2. L

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭

    1. badilisha duka kwani kkoo kuna maduka mengi sanaa 2. acha kupenda kulala. damka asbh nenda kkoo ukakutane na wateja huko acha kulalamika chukua hatua,
  3. L

    JamiiForums Tanzania Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    asante kwa story yenye funzo. ushauri wangu achana na mercy usije ukamuoa.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Serikali ipunguze muda wa kustaafu kwa watumishi

    kwa hiyo unataka wenye miaka zaidi ya 50 tulioko ofcn tuhamie mtaani ee. halafu watoto wetu utahhudumia wewe. hebu shika adabu yako
  5. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta soko la kuuza mifugo yangu

    sema uko mkoa gani. na kuku kwa jumla unauzaje
  6. L

    JamiiForums Tanzania Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    STORY NZURI SANA NA INAFUNDISHA. ACHANA NA WAJUAJI TUPE UHONDO...........
  7. L

    JamiiForums Tanzania Nakaribia kudhulumiwa, naombeni ushauri

    Jua jina lake kamili, then nenda makao makuu ya jeshi kamshtaki. nawe utapangishaje mwanajeshi? pole sana
  8. L

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  9. L

    JamiiForums Tanzania Upasuaji wa bawasiri

    ungetaja jina ingesaidia wengi
  10. L

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    hatari na nusu
  11. L

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Nipeni pole mwenzenu
  12. L

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  13. L

    JamiiForums Tanzania Wazoefu kwenye mahusiano naomba mnisaidie

    hap o kubali umeachwa. jaribu kufanya haya 1. nenda mbali na eneo analoishi ikiwezekana nenda mkoa mwingine 2. jaribu kutokumuwazia 3. jichanganye na marafiki wengine 4. sikiliza muziki usipende kukaa peke yako 5. ongea na mtu mzima unaemuamini utapata nafuu ya moyo 6. badili namba yako ya simu...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Nilivyotapeliwa na mwanaJF huyu bila huruma

    kuwa pole sana japo umetapeliwa kijinga. funzo kwa wengine ni kuwa .... mtu akikwambia yuko taasisi fulani uliza jina lake. piga simu kwenye taasisi hiyo waulize kama wanamtambua mtu huyo. ukipata uhakika endelea na mpango wako. (simu za taasisi nyingi zipo kwenye mtandao)
  15. L

    JamiiForums Tanzania Amenibadilikia kwa sababu simhudumii na sote ni wanafunzi tunatafuta maisha. Nifanye nini?

    hapo ushaashwa muda tu. jiongeze endelea na maisha yako
Back
Top Bottom