mwelevu hujifunza kutokana na makosa ya wengine. mjinga hujifunza kutokana na makosa yake mwenyewe. akili zako umeshikiwa na jirani. jifunze kutumia akili zako mwenyewe
1. badilisha duka kwani kkoo kuna maduka mengi sanaa
2. acha kupenda kulala. damka asbh nenda kkoo ukakutane na wateja huko
acha kulalamika chukua hatua,
hap
o kubali umeachwa. jaribu kufanya haya
1. nenda mbali na eneo analoishi ikiwezekana nenda mkoa mwingine
2. jaribu kutokumuwazia
3. jichanganye na marafiki wengine
4. sikiliza muziki usipende kukaa peke yako
5. ongea na mtu mzima unaemuamini utapata nafuu ya moyo
6. badili namba yako ya simu...
kuwa
pole sana japo umetapeliwa kijinga.
funzo kwa wengine ni kuwa ....
mtu akikwambia yuko taasisi fulani uliza jina lake.
piga simu kwenye taasisi hiyo waulize kama wanamtambua mtu huyo. ukipata uhakika endelea na mpango wako.
(simu za taasisi nyingi zipo kwenye mtandao)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.